Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Nani atakubali kumtangaza kihalali kua Lissu umeshinda kesi...Labda kama huyo atakua hakimu anayejitambua na kusimamia hakiHawezi kutangazwa wakati hajashinda otherwise mwambie kuwa lisu walikuwa anashinda kwa kuhonga majaji au kwa vile majaji walikuwa wanaamua kuachia ashinde ili waikomoe serikali. Sasa serikali imebooresha maslahib yao na wanafanya kazi kweli kweli!!