Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,655
- 93,379
Mkuu 1987 juzi?Kweli Tanzania bado tuko nyuma sana, Yaani sasa hivi ndio tuko enzi za Wayahudi miaka 1987 mwaka alipohukumiwa Yesu Kristu ambapo akili zao ziliwatuma kwamba bora Yesu anayehubiri amani na upendo asulubiwe kuliko Baraba Jambazi kubwa kabisa la wakati huo. Watu wote wa wakati huo wa chama tawala waliiga kelele kwamba Baraba afunguliwe Yesu asulubiwe! Hii naifananisha na ya Lema au Lijualikali kung'ang'aniwa wakati jangili linaambiwa toa faini uende zako! Halafu wale wa ESCROW rudisheni pesa msepe!