Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Huyu si muuza unga
huwa anakuuzia wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyu si muuza unga
Sio kama kina fulani kelelee tu tuna pesaaaaa,pesaa ni matendo sio mdomoni kama kina fulaniii washang'anywaa vifaa ni vya kuhongwaa kumbee
Yeye na Mumewe nawakubali sana....wanachapa kazi kwa kweli
Huyu msanii pale alipokuwa anafanyakazi clouds na hata alipotoka zilikuwa zinapigwa nyimbo zake kama vile hakuna nyimbo za wasanii wengine wa kike jee hiyo haikuwa rushwa ya aina yake?Msanii pekee asiyehongwa
Ni mmoja kati ya wasanii hapa nchini wenye mafanikio makubwa sana kimuziki na hata kiuchumi.
Ni kitu gani kipo nyuma ya mafanikio yake?
Msaada tafadhali.
ok tufanye hoja hiyo umeshinda msanii pekee nyimbo zake zisiyepigwa clouds wala kushiriki fiesta na kununua range rover,hapo vipi???Huyu msanii pale alipokuwa anafanyakazi clouds na hata alipotoka zilikuwa zinapigwa nyimbo zake kama vile hakuna nyimbo za wasanii wengine wa kike jee hiyo haikuwa rushwa ya aina yake?
Dah mie ngoja nipite nisije nikakugusa bure......................yahaya alipomtongoza alimkatalia kwa sababu hajui anaishi wapi....(hapendi kuyumbishwa na midume)
si umtaje tu ya nini kuuzunguka mbuyu hii ni
ha ha ha ha ha jf raha jmn oooh u made my day nimecheka sana baada ya kuwa moodless kwa muda
the way mumewe anavyomu handle jide like a child yaani mpaka raha sijui kama kuna siku wanagombana. ila hiyo cople naipendaga sana nawaangaliaga kwenye diary najiona kama mimi ndio nafanyiwaga yale ma love yaani jide naye anajua kama anapendwa basi anadeka zaidi nawazimikiaga.
the way mumewe anavyomu handle jide like a child yaani mpaka raha sijui kama kuna siku wanagombana. ila hiyo cople naipendaga sana nawaangaliaga kwenye diary najiona kama mimi ndio nafanyiwaga yale ma love yaani jide naye anajua kama anapendwa basi anadeka zaidi nawazimikiaga.