Nini kipo nyuma ya mafanikio ya Lady Jay dee

Sio kama kina fulani kelelee tu tuna pesaaaaa,pesaa ni matendo sio mdomoni kama kina fulaniii washang'anywaa vifaa ni vya kuhongwaa kumbee

si umtaje tu ya nini kuuzunguka mbuyu hii ni

logo2.png
 
Yeye na Mumewe nawakubali sana....wanachapa kazi kwa kweli

the way mumewe anavyomu handle jide like a child yaani mpaka raha sijui kama kuna siku wanagombana. ila hiyo cople naipendaga sana nawaangaliaga kwenye diary najiona kama mimi ndio nafanyiwaga yale ma love yaani jide naye anajua kama anapendwa basi anadeka zaidi nawazimikiaga.
 
Ni mmoja kati ya wasanii hapa nchini wenye mafanikio makubwa sana kimuziki na hata kiuchumi.
Ni kitu gani kipo nyuma ya mafanikio yake?
Msaada tafadhali.

Successful archived by hardwork & determination.
 
Huyu msanii pale alipokuwa anafanyakazi clouds na hata alipotoka zilikuwa zinapigwa nyimbo zake kama vile hakuna nyimbo za wasanii wengine wa kike jee hiyo haikuwa rushwa ya aina yake?
ok tufanye hoja hiyo umeshinda msanii pekee nyimbo zake zisiyepigwa clouds wala kushiriki fiesta na kununua range rover,hapo vipi???
 
Sijui kama uliandikaga Hapa ukiwa unamjua vizuri Jide au Ndo Sijui nini.Lkn nisiseme mengi baada ha Baadaye kuachana mengi umeyajua
the way mumewe anavyomu handle jide like a child yaani mpaka raha sijui kama kuna siku wanagombana. ila hiyo cople naipendaga sana nawaangaliaga kwenye diary najiona kama mimi ndio nafanyiwaga yale ma love yaani jide naye anajua kama anapendwa basi anadeka zaidi nawazimikiaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jide alivumilia mengi kwa Gadner
the way mumewe anavyomu handle jide like a child yaani mpaka raha sijui kama kuna siku wanagombana. ila hiyo cople naipendaga sana nawaangaliaga kwenye diary najiona kama mimi ndio nafanyiwaga yale ma love yaani jide naye anajua kama anapendwa basi anadeka zaidi nawazimikiaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom