Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
- Thread starter
- #21
Ccm wanajua wanachofanya ni kibaya na hawataruhusu wengine wawe na hayo makundi ni wao tu wenye haki.Ni jambo baya kwa vyama vya siasa kuwa na mambo kama haya...leo wakizuka Cuf jogging club, CDM jogging club, ACT jogging club kesho utasikia CCM restaurant, mara CCM pub mara CCM night club mara CDM shop, mara ACT church mara chauma Mosque, mara CDM road, mara CCM hospital, mara ACT football club.
Watanzania tutakuwa na shida mahala sio bure..