LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,186
Nnapozungumzia kiranja wa Dunia nazni wengi mnaelewa kuwa ni taifa Kubwa lenye nguvu kiuchumi, Kijeshi na kwenye maswala ya Ushawishi. Kwa sasa taifa lenye nguvu ulimwenguni ni United States Of America (USA), ikifuatiwa na RUSSIA na CHINA
sasa hebu tufanye vise vesa kama Saudi arabia na waarabu wengine ndio wangekuwa na nguvu zaidi kiuchumi na kijeshi nini kingetokea, Dunia ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa hebu tufanye vise vesa kama Saudi arabia na waarabu wengine ndio wangekuwa na nguvu zaidi kiuchumi na kijeshi nini kingetokea, Dunia ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app