NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Tatizo la umeme Tanzania ishakua ka wimbo wa "maua mazuri yapendeza"
Swali langu, ni nini kinachozuia Tanzania isitumie nuclear energy kuendesha shughuli zote zinazohusika na energy? Kuna article nilisoma Tanzania inataka kumpita Canada kua producer wa pili duniani kwa madini ya Uranium, na hiyo ni muda kidogo sasa hivi my guess hilo lishatokea, then kwa nini tusiharvest nuclear energy, tusiseme hatuna wataalam, au zile story mnasikia ati bongo aliyesomea nuclear physics ni moja, hizo ni story tu, ninafahamu watanzania baadhi wenye PhD in nuclear physics , najua wapo wengine wengi wasomi kwenye hii sector, na am confident na wasomi wa Tanzania, nlipozunguka duniani vyuoni wapo watanzania wanaweka majina mazuri tu..
Hili swala lingepigiwa kelele sana lingeweza kupeleka nchi hii kwenye level nyingine ya development, mfano Tanzania sasa hivi najua ukitaka kuweka kitu kama train ni either zitafutiwe njia yake ya umeme au umeme uzimwe jiji zima kuwasha train.. Afu still tukiweza kua na umeme wa nuclear hata nchi jirani tunaweza kuwauzia umeme pia, kama producer mkubwa wa Uranium duniani ni aibu hatuitumii sisi wenyewe. Mtanzania kutumia jiko la umeme ni nadra sana, majiko kama ya induction yanapika msosi haraka sana, sema sijawahi ona mtanzania antumia simply coz umeme gharama, huku UK, Asia watu wanachezea umeme tu, Kuna tangazo nililiona nilipokua asia walikua wanaitania Africa kua haina umeme, wajinga afu watu walikua wanacheka, mtu inabidi ufiche sura..
Swali langu, ni nini kinachozuia Tanzania isitumie nuclear energy kuendesha shughuli zote zinazohusika na energy? Kuna article nilisoma Tanzania inataka kumpita Canada kua producer wa pili duniani kwa madini ya Uranium, na hiyo ni muda kidogo sasa hivi my guess hilo lishatokea, then kwa nini tusiharvest nuclear energy, tusiseme hatuna wataalam, au zile story mnasikia ati bongo aliyesomea nuclear physics ni moja, hizo ni story tu, ninafahamu watanzania baadhi wenye PhD in nuclear physics , najua wapo wengine wengi wasomi kwenye hii sector, na am confident na wasomi wa Tanzania, nlipozunguka duniani vyuoni wapo watanzania wanaweka majina mazuri tu..
Hili swala lingepigiwa kelele sana lingeweza kupeleka nchi hii kwenye level nyingine ya development, mfano Tanzania sasa hivi najua ukitaka kuweka kitu kama train ni either zitafutiwe njia yake ya umeme au umeme uzimwe jiji zima kuwasha train.. Afu still tukiweza kua na umeme wa nuclear hata nchi jirani tunaweza kuwauzia umeme pia, kama producer mkubwa wa Uranium duniani ni aibu hatuitumii sisi wenyewe. Mtanzania kutumia jiko la umeme ni nadra sana, majiko kama ya induction yanapika msosi haraka sana, sema sijawahi ona mtanzania antumia simply coz umeme gharama, huku UK, Asia watu wanachezea umeme tu, Kuna tangazo nililiona nilipokua asia walikua wanaitania Africa kua haina umeme, wajinga afu watu walikua wanacheka, mtu inabidi ufiche sura..