lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Nimekuwa nikijiuliza hivi,hawa wanaoitwa kwenye hiyo kamati nini huwakuta huko? Maana wanapotoka mle ndani hubadirika sura na kuonekana hawana amani. Je tendo lile na yanayopita mle ni siri za serikali pia kama zilivyo siri za baraza la mawaziri na hulishwa kiapo wasiseme?
Kwanini iwe siri,kama sakata la spika na Cag nilikuwa wazi mbele ya ulimwengu licha ya ndani ya nchi,kwanini baada ya utekelezaji wa agizo,kwanini iwe siri?
Nimemsikia mwenyekiti wa kamati akisema watalitolea maelezo baadae wao kama kamati, kwanini Assad afumbwe mdomo mpaka anazikimbia kamera, anaona wana habari siyo Rafiki?@P.Mayalla hebu unisaidie hapo kama utaweza. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini iwe siri,kama sakata la spika na Cag nilikuwa wazi mbele ya ulimwengu licha ya ndani ya nchi,kwanini baada ya utekelezaji wa agizo,kwanini iwe siri?
Nimemsikia mwenyekiti wa kamati akisema watalitolea maelezo baadae wao kama kamati, kwanini Assad afumbwe mdomo mpaka anazikimbia kamera, anaona wana habari siyo Rafiki?@P.Mayalla hebu unisaidie hapo kama utaweza. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app