Nini kinatushinda wanasayansi na viongozi wa Tanzania kama hizi taarifa ni za kweli?

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Dimz8ZMWkAII2R3.jpg

''kwa kila tani 1m ya chuma unapata tani 80,000 ya Vanadium ambayo bei yake ni $50,000/tani Mauzo ya Vanadium peke yake ni sawa na dola bilioni nne kwa mwaka ambapo kwa kuwa haya ni bidhaa ambatana na chuma maana yake 80% ya mapato haya yangekuwa ya nchi'' Zitto Kabwe

Piga mahesabu hayo kwa kiwango cha uzalishaji kwa siku kwa mwaka kwa muda ambao malighafi hiyo itazalishwa na kumalizika mapato yatakuwa kiasi gani na faida zake zitakuwaje.

Hapo ndipo tunajiuliza nini kinatushida KUAMUA KUFANYA na IKAWA KWELI......?
 
Hesabu chonganishi ( joke)
===
Hata mimi uzi ule umenifikirisha....kwamba hatutakiwi kukopa kama nchi bali kukopesha. Sasa natafakari changamoto za kuchakata chuma hicho na soko lake.
 
Hesabu chonganishi ( joke)
===
Hata mimi uzi ule umenifikirisha....kwamba hatutakiwi kukopa kama nchi bali kukopesha. Sasa natafakari changamoto za kuchakata chuma hicho na soko lake.

Ule uzi wa Zitto umetulia. Tunangonja nondo toka kwa watu wengine tupime kwa nini nchi yetu ni masikini.
 
View attachment 814706
''kwa kila tani 1m ya chuma unapata tani 80,000 ya Vanadium ambayo bei yake ni $50,000/tani Mauzo ya Vanadium peke yake ni sawa na dola bilioni nne kwa mwaka ambapo kwa kuwa haya ni bidhaa ambatana na chuma maana yake 80% ya mapato haya yangekuwa ya nchi'' Zitto Kabwe

Piga mahesabu hayo kwa kiwango cha uzalishaji kwa siku kwa mwaka kwa muda ambao malighafi hiyo itazalishwa na kumalizika mapato yatakuwa kiasi gani na faida zake zitakuwaje.

Hapo ndipo tunajiuliza nini kinatushida KUAMUA KUFANYA na IKAWA KWELI......?
Bora uyaeleze ma CCM wenzio majinga...
Uzi wa Zitto umetulia.
Kumbe umemsoma eeehhh.!!
 
Ule uzi wa Zitto umetulia. Tunangonja nondo toka kwa watu wengine tupime kwa nini nchi yetu ni masikini.
Daktari aliye iongoza nchi kwa miaka kumi alikiri hata yeye hajui!sijui sasa tunawangojea akina nani!labda huyu dactari mwingine tuliyenae kwa sasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ule uzi wa Zitto umetulia. Tunangonja nondo toka kwa watu wengine tupime kwa nini nchi yetu ni masikini.

tindo,
Hii nchi yetu imebahatika kuwa na Raslimali za asili tulizopewa na Mwenye enzi Mungu, tatizo tulilo nalo ni ujinga mwingi na ubabaishaji tulio nao Watanzania...!!Yaweza kuwa ni ukosefu wa Elimu ya uhakika kutokana na mfumo wa Utawala wa Chama kimoja ambao tumekuwa nao tangu tupate Uhuru miaka zaidi ya 50 iliyopita...!!Utawala huu ni wa Chama kimoja kilichoitwa TANU&ASP enzi hizo na leo kinaitwa CCM!. Hili ndiyo tatizo la Watz.

Baba wa Taifa aliwahi kusema ili nchi iendelee inahitaji vitu 4 muhimu: (1)WATU(2) ARDHI(3) SIASA SAFI na (4)UONGOZI BORA. Tanzania WATU na ARDHI tunavo, kinachokosekana ni SIASA SAFI na UONGOZI BORA. Kuna mifano LUKUKI YA kudhihirisha kushindwa kwa Utawala wa CCM tokea enzi za Mwalimu hadi wakti huu wa JPM.....!

  1. Mlima Kilimanjaro upo Tanzania lakini huwezi amini Watalaii wanatoka nje za ughaibuni wanakuja kutazama Mlima Kilimanjaro kutokea KENYA huku Wakenya wakiendelea kujinadi kuwa mlima huo uko kwao...Kenyans are smarter thanTanzanians.
  2. Mbuga za Wanyama Serengeti na Ngorongoro ziko Tanzania bado Watalii wanakuja kuona Uhamaji wa Nyumbu kutoka Tanzania kwenda Kenya kuzaliana na baadaye kurudi Tanzania.....huku Wakeya wakitamba kuwa maajabu hayo yako Kenya.
  3. Tanzanite ni madini yanayopatikana Tanzania pekee lakini Takwimu zinaonyesha nchi inayouza/kuzalisha Tanzanite ni India ikifuatiwa na South Afrika na Kenya.....!
  4. Kuna mikoa ya Kanda ya Kaskazini kama Tanga wanakozalisha matundakama Machungwa kwa wingi. Kinachotokea Kenyans wanakwenda Tanga kununua Machungwa na kusafirisha mpaka Mombasa na wakiyafikisha huko wanafanya procesing kwa grading/packing na kuyasafirisha kwenda Ulaya labelled FRESH FRUIT FROM KENYA.
Hii ni mifano michache tu kuonyesha kuwa Tanzania haina Uongozi Bora(Note:UONGOZI BORA) na siyo UTAWALA BORA. Serikali ya CCM ni UTAWALA BORA refer slogan yao: CHAMA TAWALA/TWAWALA.....na matokeo yake ndo haya...! Mind you, KUTAWALA na KUONGOZA are 2 different things....! Mkoloni ALITUTAWALA hivo na CCM wanaendeeza UTAWALA uleule wa Kikoloni lakini katika MFUMO WA MKOLONI MWEUSI...! Believe me, siku tutkayopata UONGOZI BORA TANZANIA ITAKUWA NI NCHI YA KUPIGIWA MFANO....!
 
Nchi haina vision wala mission za kichumi bali ina vision na mission za chama tawala kutawala milele!
Nchi inayowadharau wataalam wake kwa kuwaburuza kwenye siasa kwa kuwapa vyeo vya kisiasa unategemea uchumi kukua?
Elimu yetu nayo ni tatizo kwani ipoipo tu kwa kulenga KKK ndiyo mafanikio! Makusudi tu haya na siyo mpango wa Mungu!
 
tindo,
Hii nchi yetu imebahatika kuwa na Raslimali za asili tulizopewa na Mwenye enzi Mungu, tatizo tulilo nalo ni ujinga mwingi na ubabaishaji tulio nao Watanzania...!!Yaweza kuwa ni ukosefu wa Elimu ya uhakika kutokana na mfumo wa Utawala wa Chama kimoja ambao tumekuwa nao tangu tupate Uhuru miaka zaidi ya 50 iliyopita...!!Utawala huu ni wa Chama kimoja kilichoitwa TANU&ASP enzi hizo na leo kinaitwa CCM!. Hili ndiyo tatizo la Watz.

Baba wa Taifa aliwahi kusema ili nchi iendelee inahitaji vitu 4 muhimu: (1)WATU(2) ARDHI(3) SIASA SAFI na (4)UONGOZI BORA. Tanzania WATU na ARDHI tunavo, kinachokosekana ni SIASA SAFI na UONGOZI BORA. Kuna mifano LUKUKI YA kudhihirisha kushindwa kwa Utawala wa CCM tokea enzi za Mwalimu hadi wakti huu wa JPM.....!

  1. Mlima Kilimanjaro upo Tanzania lakini huwezi amini Watalaii wanatoka nje za ughaibuni wanakuja kutazama Mlima Kilimanjaro kutokea KENYA huku Wakenya wakiendelea kujinadi kuwa mlima huo uko kwao...Kenyans are smarter thanTanzanians.
  2. Mbuga za Wanyama Serengeti na Ngorongoro ziko Tanzania bado Watalii wanakuja kuona Uhamaji wa Nyumbu kutoka Tanzania kwenda Kenya kuzaliana na baadaye kurudi Tanzania.....huku Wakeya wakitamba kuwa maajabu hayo yako Kenya.
  3. Tanzanite ni madini yanayopatikana Tanzania pekee lakini Takwimu zinaonyesha nchi inayouza/kuzalisha Tanzanite ni India ikifuatiwa na South Afrika na Kenya.....!
  4. Kuna mikoa ya Kanda ya Kaskazini kama Tanga wanakozalisha matundakama Machungwa kwa wingi. Kinachotokea Kenyans wanakwenda Tanga kununua Machungwa na kusafirisha mpaka Mombasa na wakiyafikisha huko wanafanya procesing kwa grading/packing na kuyasafirisha kwenda Ulaya labelled FRESH FRUIT FROM KENYA.
Hii ni mifano michache tu kuonyesha kuwa Tanzania haina Uongozi Bora(Note:UONGOZI BORA) na siyo UTAWALA BORA. Serikali ya CCM ni UTAWALA BORA refer slogan yao: CHAMA TAWALA/TWAWALA.....na matokeo yake ndo haya...! Mind you, KUTAWALA na KUONGOZA are 2 different things....! Mkoloni ALITUTAWALA hivo na CCM wanaendeeza UTAWALA uleule wa Kikoloni lakini katika MFUMO WA MKOLONI MWEUSI...! Believe me, siku tutkayopata UONGOZI BORA TANZANIA ITAKUWA NI NCHI YA KUPIGIWA MFANO....!
Ubinafsi usio na maana pia umetujaa waTanzania wengi, mfano kuingia mikataba mibaya kisa wanapiga pesa au kupitisha sheria mbaya kisa wabaki madarakani mda mrefu.
Tanzania kama nchi, sisi watawaliwa tukiendelea kulalamika tu na kuto chukua hatua zidi ya viongozi wetu watatutawala milele na pasipo kupata maendeleo.
 
Kama kuna madini siyo lazima yavunwe leo jamani. Tusubiri mpaka tuwe na uwezo wetu wenyewe l
 
Ubinafsi usio na maana pia umetujaa waTanzania wengi, mfano kuingia mikataba mibaya kisa wanapiga pesa au kupitisha sheria mbaya kisa wabaki madarakani mda mrefu.
Tanzania kama nchi, sisi watawaliwa tukiendelea kulalamika tu na kuto chukua hatua zidi ya viongozi wetu watatutawala milele na pasipo kupata maendeleo.
Mkuu, utaongelea wapi hayo? Huo mkutano utauitishaje na utaitwa wa ndani au nje au vipi?
 
Nchi haina vision wala mission za kichumi bali ina vision na mission za chama tawala kutawala milele!
Nchi inayowadharau wataalam wake kwa kuwaburuza kwenye siasa kwa kuwapa vyeo vya kisiasa unategemea uchumi kukua?
Elimu yetu nayo ni tatizo kwani ipoipo tu kwa kulenga KKK ndiyo mafanikio! Makusudi tu haya na siyo mpango wa Mungu!
Tumebahatika kupata ardhi yenye utajiri,ila hatujawahi kubahatika kupata viongozi
 
Ubinafsi usio na maana pia umetujaa waTanzania wengi, mfano kuingia mikataba mibaya kisa wanapiga pesa au kupitisha sheria mbaya kisa wabaki madarakani mda mrefu.
Tanzania kama nchi, sisi watawaliwa tukiendelea kulalamika tu na kuto chukua hatua zidi ya viongozi wetu watatutawala milele na pasipo kupata maendeleo.

GU11,
Well said.
Rejea tamko la JPM juzi kuhusu CCM kuendelea kutawala milele.....Ni kweli CCM watatawala mille lakini si KUONGOZA....Tunahitaji VIONGOZI watakaoweza kuongoza Tanzania na siyo Watawala wa CCM......ambao kwa hakika wameshashindwa. Tunachoshuhudia ni maigizo tu hakuna uhalisia wowote wa kuikwamua nchi hi iliyozama kwenye tope zito...!
 
GU11,
Well said.
Rejea tamko la JPM juzi kuhusu CCM kuendelea kutawala milele.....Ni kweli CCM watatawala mille lakini si KUONGOZA....Tunahitaji VIONGOZI watakaoweza kuongoza Tanzania na siyo Watawala wa CCM......ambao kwa hakika wameshashindwa. Tunachoshuhudia ni maigizo tu hakuna uhalisia wowote wa kuikwamua nchi hi iliyozama kwenye tope zito...!
Mkuu uko sahihi, lkn tutambue kuwa hawa jamaa wanajua wanacho kifanya, na sio kwa bahati mbaya. Hawa wanatawala wanavyo taka na hawatawali au kuongoza kama wananchi wanavyotaka.
Sasa ifike mahali watawaliwe tuseme tumechoka and is enough, otherwise tutalalamika milele.
 
Isee kuna mtanzania mbobezi wa chuma yuko Sweden ange tufaa sana. Maana alisoma enzi ya Nyerere. Kurudi hamna kiwanda cha chuma tz. Akarudi huko huko kuna siku alikuwa ana elezea kuhusu chuma kuna vitu vingi sana. Akashauri chuma cha liganga tukimpa mchina China kama kilivyo atatupiga bao kwa bidhaa zina zopatikana humo. Sina hakika kama watawala walifuatilia hili
 
tindo,
Hii nchi yetu imebahatika kuwa na Raslimali za asili tulizopewa na Mwenye enzi Mungu, tatizo tulilo nalo ni ujinga mwingi na ubabaishaji tulio nao Watanzania...!!Yaweza kuwa ni ukosefu wa Elimu ya uhakika kutokana na mfumo wa Utawala wa Chama kimoja ambao tumekuwa nao tangu tupate Uhuru miaka zaidi ya 50 iliyopita...!!Utawala huu ni wa Chama kimoja kilichoitwa TANU&ASP enzi hizo na leo kinaitwa CCM!. Hili ndiyo tatizo la Watz.

Baba wa Taifa aliwahi kusema ili nchi iendelee inahitaji vitu 4 muhimu: (1)WATU(2) ARDHI(3) SIASA SAFI na (4)UONGOZI BORA. Tanzania WATU na ARDHI tunavo, kinachokosekana ni SIASA SAFI na UONGOZI BORA. Kuna mifano LUKUKI YA kudhihirisha kushindwa kwa Utawala wa CCM tokea enzi za Mwalimu hadi wakti huu wa JPM.....!

  1. Mlima Kilimanjaro upo Tanzania lakini huwezi amini Watalaii wanatoka nje za ughaibuni wanakuja kutazama Mlima Kilimanjaro kutokea KENYA huku Wakenya wakiendelea kujinadi kuwa mlima huo uko kwao...Kenyans are smarter thanTanzanians.
  2. Mbuga za Wanyama Serengeti na Ngorongoro ziko Tanzania bado Watalii wanakuja kuona Uhamaji wa Nyumbu kutoka Tanzania kwenda Kenya kuzaliana na baadaye kurudi Tanzania.....huku Wakeya wakitamba kuwa maajabu hayo yako Kenya.
  3. Tanzanite ni madini yanayopatikana Tanzania pekee lakini Takwimu zinaonyesha nchi inayouza/kuzalisha Tanzanite ni India ikifuatiwa na South Afrika na Kenya.....!
  4. Kuna mikoa ya Kanda ya Kaskazini kama Tanga wanakozalisha matundakama Machungwa kwa wingi. Kinachotokea Kenyans wanakwenda Tanga kununua Machungwa na kusafirisha mpaka Mombasa na wakiyafikisha huko wanafanya procesing kwa grading/packing na kuyasafirisha kwenda Ulaya labelled FRESH FRUIT FROM KENYA.
Hii ni mifano michache tu kuonyesha kuwa Tanzania haina Uongozi Bora(Note:UONGOZI BORA) na siyo UTAWALA BORA. Serikali ya CCM ni UTAWALA BORA refer slogan yao: CHAMA TAWALA/TWAWALA.....na matokeo yake ndo haya...! Mind you, KUTAWALA na KUONGOZA are 2 different things....! Mkoloni ALITUTAWALA hivo na CCM wanaendeeza UTAWALA uleule wa Kikoloni lakini katika MFUMO WA MKOLONI MWEUSI...! Believe me, siku tutkayopata UONGOZI BORA TANZANIA ITAKUWA NI NCHI YA KUPIGIWA MFANO....!
Umenena mkuu.
 
Back
Top Bottom