Mbeba Maono
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 108
- 7
jamani, kichwa cha habari hapo juu chajieleza chenyewe. hivi, ni kwanini watoto wengine wanakuwa wanazaliwa na vichwa vikubwa hadi wanatisha, na wengine yaani nashindwa kueleza. na nini tufanye ili kuzuia hilo lisitokee,