MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
Huyu mgonjwa alishawahi kufanyiwa surgery mara mbili kuondolewa uvimbe usoni zaidi ya miaka 10 iliyopita. Hivi karibuni viuvimbe vinajitokeza masikioni, shingoni na sasa vinatoka kwapani. Amepimwa damu tatizo halionekani, kulingana na wataalmu KCMC na Muhimbili hizo vimbe sio zile za jamii ya cancer.
Najaribu pia kusearch internet, lakini pia nimeona nije hapa kuomba msaada kama wewe ni dr. au una fahamu hili tatizo nitashukuru ukinipatia details aidha hapa au kupitia PM, thanks.
Najaribu pia kusearch internet, lakini pia nimeona nije hapa kuomba msaada kama wewe ni dr. au una fahamu hili tatizo nitashukuru ukinipatia details aidha hapa au kupitia PM, thanks.