be unique
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,374
- 2,273
Habari za weekend wakuu,natumaini mpo salama na mapumziko ya mwisho wa week.
Kikubwa leo nachopenda kufahamu kutoka kwenu na kwa uelewa ambao mnao kila mtu kwa nafasi yake ni kuhusu swala zima la bangi au mmea.
Nina swali kuu ambalo nikipata jibu lake litanifungua na kunipa uelewa zaidi juu ya hii kitu.
1. Kwanini mtumiaji wa bangi anapoteza taswira au muonekano wake ule ang'avu? Na je unaweza kutumia bangi bila kupoteza taswira au muoneako wako mzuri?
Kikubwa leo nachopenda kufahamu kutoka kwenu na kwa uelewa ambao mnao kila mtu kwa nafasi yake ni kuhusu swala zima la bangi au mmea.
Nina swali kuu ambalo nikipata jibu lake litanifungua na kunipa uelewa zaidi juu ya hii kitu.
1. Kwanini mtumiaji wa bangi anapoteza taswira au muonekano wake ule ang'avu? Na je unaweza kutumia bangi bila kupoteza taswira au muoneako wako mzuri?