Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Watu wengi wanatamani kufanya biashara wengine wana mitaji kabisa sababu unakuta yeye ni mtumishi hela sio swala la kuuliza ila when it comes to starting a business anajikuta anasita sita au kupatwa na uoga na jakamoyo!
Ijapokuwa kujiajiri na biashara ndio kitu ambacho kinaaminika kuleta utajiri katika maisha ya raia. Ni kipi kinakufanya au kilikufanya uogope kufungua biashara?
Ijapokuwa kujiajiri na biashara ndio kitu ambacho kinaaminika kuleta utajiri katika maisha ya raia. Ni kipi kinakufanya au kilikufanya uogope kufungua biashara?