Gabraison jr
Member
- Sep 7, 2011
- 21
- 1
Waungwana naomba 2lijadil hil la yanga bingwa mtetez wa VPL nin knaifanya ianze vbaya.naomba kuwasilisha
<br />Itakua kuna mgogoro wa chini kwa chini ktk uongozi,ila nakubaliana kuwa tukipata bingwa mpya tofauti na simba na yanga itakua safi,ila kumbukeni kuwa mnyama simba atauwawa ccm kirumba kwa toto la yanga jumatano,kama kawa myama kirumba huwa hatoki kwa toto
Ni vgumu kuubadil msimamo wa m2 lakin tuwe 2naridhia mabadiliko ile dhana ya usimba na yanga ishapita
<br />Nina mashaka na uthabiti wa uongozi wake.