Abigail2011
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 514
- 213
Wadau habarini za mchana,
Ebwana nipo mitaa ya Posta mpya karibu na huu mnara wa askari aliyeshikilia SMG tayari kwa mapambano ukizungushiwa uzio wa mabati, sasa sielewi ni nini maana yake, embu tu juzane kwa mnao fahamu hili jamani. Sio vibaya tukijua kinacho endelea wakuu.
Na wakilisha.
Ebwana nipo mitaa ya Posta mpya karibu na huu mnara wa askari aliyeshikilia SMG tayari kwa mapambano ukizungushiwa uzio wa mabati, sasa sielewi ni nini maana yake, embu tu juzane kwa mnao fahamu hili jamani. Sio vibaya tukijua kinacho endelea wakuu.
Na wakilisha.