OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Wadau tupeane update za kinachoendelea kwenye uchaguzi wa jumuiya ya wazazi kwa mwenye taarifa.
I hope hawa wazee hawajapigana na kutukanana kama akina mama na watoto wao!
Wadau tupeane update za kinachoendelea kwenye uchaguzi wa jumuiya ya wazazi kwa mwenye taarifa.
Wapo wanapeana rushwa hadharani.Wadau tupeane update za kinachoendelea kwenye uchaguzi wa jumuiya ya wazazi kwa mwenye taarifa.
ha ha kwa nn wawe wa lowasa tu ndo washinde?
Mnada wa wazee sasa
Abdalah bulembo 673 , Mhe Martha Mlata 153 , captain Barongo
Hakuna uchaguzi huko ni kwenda kugawana fedha zetu ili waendelee kututawala!
hao ni wazazi wa kina nani ambao hwajawafanania? Nafikiri hii jumuiya ingebadli jina na kuitwa jumuiya ya watu wazima waliopo ccm na si jumuiya ya wazazi tanzania. neno wazazi lina denotation na connotation ambazo ni lazima ziwe na utakatifu fulani.
Abdalah bulembo 673 , Mhe Martha Mlata 153 , captain Barongo