Nakhothebhe mbhaneeHee ghasarikile
Njoo tu mkuu tutakupa bureHivi kununua uraia wa tarime sh ngapi? I wish i could be mtarime.
KWA akili yako hakuna unacho jua tofauti na mrango wa choo. Wewe ni zero brain. ACACIA si ni wezi? Hatunaga mijadala na wezi, sijui kwenu kama huwa mnajdiliana na wezi.Sana yani unajua nilijua me peke yangu nalijua hili Yan hawa ni wachochez sana wanapenda migogoro hafu wanao tangaza ni wa tz wenzenu wehu sana hawa