Nini Kinaendelea Dodoma?

FDR Jr

JF-Expert Member
Aug 9, 2007
249
8
Najiuliza kumetokea nini hata JF kujikuta haina chochote cha kuripoti kabla ya muungwana hajashughulika na vinasa sauti vya Tz?

Napenda kuamini ni kukomaa kwa watu wa jk sasa

Napenda kuamini EL alikuwa chanzo cha kuvuja info

Napenda kuamini wajivuni wanamtandao wamekwama na wanahofu sana sasa

Napenda kuamini JF imeanza kushindwa kuingia sirini kama kawaida yake.

Tusingependa kusubiria radio na Runinga zetu na leo hii mvua hii basi taabu kwelikweli.

Wakuu tupeni baraza mapema ili kuepuka sifa ya makasisi wetu siku hizi.
 
Jamani Wakubwa Kulikuwa Na Tetesi Kuwa Baraza Hilo La Muungwana Litakuwa Saa 4 Kamili,lakini Mpaka Sasa Naona Kimya Na Tunawategemea Mlioko Huko Ili Tujue Nini Kinaendelea.kuna Mwenye Kusikia Lolote??
 
Napenda kuamini ni kukomaa kwa watu wa jk sasa

Napenda kuamini EL alikuwa chanzo cha kuvuja info

Napenda kuamini wajivuni wanamtandao wamekwama na wanahofu sana sasa

Napenda kuamini JF imeanza kushindwa kuingia sirini kama kawaida yake.
Dah,

Hizi ni IMANI... Kuzibadili yataka moyo. Kifupi go thru stuffs and you'll be enlightened.

A few moments things will be out as they are!

Invisible
 
Najiuliza kumetokea nini hata JF kujikuta haina chochote cha kuripoti kabla ya muungwana hajashughulika na vinasa sauti vya Tz?

Napenda kuamini ni kukomaa kwa watu wa jk sasa

Napenda kuamini EL alikuwa chanzo cha kuvuja info

Napenda kuamini wajivuni wanamtandao wamekwama na wanahofu sana sasa

Napenda kuamini JF imeanza kushindwa kuingia sirini kama kawaida yake.

Tusingependa kusubiria radio na Runinga zetu na leo hii mvua hii basi taabu kwelikweli.

Wakuu tupeni baraza mapema ili kuepuka sifa ya makasisi wetu siku hizi.

sawa kumbe umekuja na sulubu mpya wa kudai ujuilishwe. nimekupata mkuu lengo si kuonyesha unayoyaamini ila kuwachonga ukali wakuu, nnaaamini wamekufahamu


kuna jamaa alikuwa akimuomba mungu amuondoshee shida yake na kila akiomba anaona shida yake haikidhiwi akaamua kusema ww mungu gani ww kama kweli ww mungu niue basi saa hii. si muda pale alipo lilianguka tofali kubwa kutoka juu na kuanguka karibu yake.

jamaa alikurupuka mbio na kusema hee mungu hutaniwi nilikuwa natania tu
 
We bwana FDR sikuelewi......! unamaanisha nini? cause kama wewe ni member makini hujashangaa utezui wa PM bwana MZ Pinda...! kwa sababu hapa JF tulisha mpa nafasi kubwa sana!! Nakushauri, zipitie thread zote za Ijumaa,J1 & j2 .....utapata picha kamili ya baraza la mawaziri!! Sisi hapa tunasubiri kuconfirm tu...! kwenye vipasa sauti vya radio na TVs yale baraza tulilokuwa nalo!!

festog
 
sawa kumbe umekuja na sulubu mpya wa kudai ujuilishwe. nimekupata mkuu lengo si kuonyesha unayoyaamini ila kuwachonga ukali wakuu, nnaaamini wamekufahamu


kuna jamaa alikuwa akimuomba mungu amuondoshee shida yake na kila akiomba anaona shida yake haikidhiwi akaamua kusema ww mungu gani ww kama kweli ww mungu niue basi saa hii. si muda pale alipo lilianguka tofali kubwa kutoka juu na kuanguka karibu yake.

jamaa alikurupuka mbio na kusema hee mungu hutaniwi nilikuwa natania tu

Mtu wa Pwani ndg yangu hapa sijakuelewa ila ni vema nami nikaendelea kueleleza:

Jana makanisani hoja hii ya Mwakyembe vs Lowassa na Pinda na JK umekuwa wimbo usio na vina wala mizani.

Jana makanisani kwa sisi wengine tulikuwa na mahubiri ya makasisi wetu. Wamewageuka hao jamaa as if sio wao waliokuwa wanawaita ktk harambee zao za kuku ktk kujenga makanisa na blabla, ninajiuliza hawa makasisi hawakujua kuwa watoa sadaka hawa ni mafarisayo na watoza ushuru,mbona wametwaa saana mapokeo ya kifisadi.

Nway,tupatieni latest tu juu ya nani yumo na nani katemwa.

Kazi kwelikweli.
 
Mtu wa Pwani ndg yangu hapa sijakuelewa ila ni vema nami nikaendelea kueleleza:

Jana makanisani hoja hii ya Mwakyembe vs Lowassa na Pinda na JK umekuwa wimbo usio na vina wala mizani.

Jana makanisani kwa sisi wengine tulikuwa na mahubiri ya makasisi wetu. Wamewageuka hao jamaa as if sio wao waliokuwa wanawaita ktk harambee zao za kuku ktk kujenga makanisa na blabla, ninajiuliza hawa makasisi hawakujua kuwa watoa sadaka hawa ni mafarisayo na watoza ushuru,mbona wametwaa saana mapokeo ya kifisadi.

Nway,tupatieni latest tu juu ya nani yumo na nani katemwa.

Kazi kwelikweli.

FDR,
Nani akatae pesa dunia hii? Unadhani walikuwa hawajui kwamba ni za wizi? Iweje mtu achangie milioni 60 pasipo maswali?
Jamaa alikuwa akiitwa kwenye kila harambee na kuchangia mamilioni, na walikuwa wakifurahia. Leo imejulikana kwamba mamilioni yalikuwa yao wenyewe wanaanza kung'aka. Noma sana
Ndio maana tunasema ya Kaisari watuachie wenyewe akina Kaisari na ya Mungu wampe Mungu!
 
rais atatangaza baraza la mawaziri na nafasi kadhaa za wakuu wa mkoa
 
itakuwa jioni ya leo saa 11,ikiwa atamaliza kufanya mabadiliko machache baaada ya mashauriano wa viongozi wa juu wa chama,sababu hakuwashirikisha mwanzoni na huenda list ikapanguliwa kutokana na ushawishi wa baadhi ya watu waliotolewa,kama wakichelewa kumaliza mashauriano basi itakuwa asubuhi ya kesho.! baraza haliwezi kuwa na watu wapya sana na bila ya kuwekwa wazoefu ili kulinda siri za nchi ambazo hubadilika mara kwa mara,huenda chenge au seif
 
Ndugu yangu FDR, kuchanganua ya Kaisari na ya Mola yataka hekima, sisi tulioUKOKA ktamgeukia .... tumeshukiwa na UROHO MTAKAVITU! Hayo ni maandiko MATIFUTIFU. JF kaza mwendo, na think smart; tutafika.

Kiberega, Ngenzebuhoro
 
Mtu wa Pwani ndg yangu hapa sijakuelewa ila ni vema nami nikaendelea kueleleza:

Jana makanisani hoja hii ya Mwakyembe vs Lowassa na Pinda na JK umekuwa wimbo usio na vina wala mizani.

Jana makanisani kwa sisi wengine tulikuwa na mahubiri ya makasisi wetu. Wamewageuka hao jamaa as if sio wao waliokuwa wanawaita ktk harambee zao za kuku ktk kujenga makanisa na blabla, ninajiuliza hawa makasisi hawakujua kuwa watoa sadaka hawa ni mafarisayo na watoza ushuru,mbona wametwaa saana mapokeo ya kifisadi.

Nway,tupatieni latest tu juu ya nani yumo na nani katemwa.

Kazi kwelikweli.

Thanks mkuu kwa kumention hili!! Hawa makasisi walikuwa wanampamba sana huyu x PM, Kama mnakumbuka usharika mmoja huko Monduli walimwekea hata kasherehe kadogo.....! wakisifu utendaji wake wa kazi.....! hapa naona Mungu amewaumbua vibaya! Na sasa kama wengi mlivyoshudia J2 wamemshambulia sana na kuanza kumpamba huyu Pinda...! Any way these guys are doing some kind of business in the church!!

festog
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom