Najiuliza kumetokea nini hata JF kujikuta haina chochote cha kuripoti kabla ya muungwana hajashughulika na vinasa sauti vya Tz?
Napenda kuamini ni kukomaa kwa watu wa jk sasa
Napenda kuamini EL alikuwa chanzo cha kuvuja info
Napenda kuamini wajivuni wanamtandao wamekwama na wanahofu sana sasa
Napenda kuamini JF imeanza kushindwa kuingia sirini kama kawaida yake.
Tusingependa kusubiria radio na Runinga zetu na leo hii mvua hii basi taabu kwelikweli.
Wakuu tupeni baraza mapema ili kuepuka sifa ya makasisi wetu siku hizi.
Napenda kuamini ni kukomaa kwa watu wa jk sasa
Napenda kuamini EL alikuwa chanzo cha kuvuja info
Napenda kuamini wajivuni wanamtandao wamekwama na wanahofu sana sasa
Napenda kuamini JF imeanza kushindwa kuingia sirini kama kawaida yake.
Tusingependa kusubiria radio na Runinga zetu na leo hii mvua hii basi taabu kwelikweli.
Wakuu tupeni baraza mapema ili kuepuka sifa ya makasisi wetu siku hizi.