Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Soda aina ya Pepsi na Mirinda zimehadimika kwenye maduka Kanda ya Ziwa na upande wa kiwanda cha Coca Cola pia kuna uhaba mkubwa wa vinywaji hivyo.
Je tunarudi kwenye miaka ya 70 na 80 ya migao ya vinywaji hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je tunarudi kwenye miaka ya 70 na 80 ya migao ya vinywaji hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app