Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

kwa mtu anayetumia vidonge vya majira inaweza kuwa hivyo.
Hii inatokea kama haufuati mzunguko mzima badala yake unatumia kidonge pale
unapotaka kwenda kukutana na mtu.

Zaidi watasema wakuu hapa.

hatumii vidonge vyovyote vya uzazi coz alifunga uzazi tangu 2000
 
iliwahi kunitokea nikaenda hosp wakasema nina faibrods.mwambie akaone gyna mzuri.
 
Hatumii njia yeyote ya uzazi wampango coz alifunga uzazi tangu mwaka 2000
 
Kama alivyosema mdau hapo juu amuone doctor wa kina mama.

Afu nimekumbuka; watu walofunga kizazi wanapata lots of problems, nimekumbuka my mum alikuwa ana lalamika. Ila baada ya muda atakuwa poa. Ila kumwona doctor ni muhimu sana.

Ila Mhhh. Wewe ni 'he' afu unaongeaje mambo ya hedhi na jirani yako ambae ni 'she'?
 
kama alivyosema mdau hapo juu amuone doctor wa kina mama.

Afu nimekumbuka; watu walofunga kizazi wanapata lots of problems, nimekumbuka my mum alikuwa ana lalamika. Ila baada ya muda atakuwa poa. Ila kumwona doctor ni muhimu sana.

Ila mhhh. Wewe ni 'he' afu unaongeaje mambo ya hedhi na jirani yako ambae ni 'she'?

usijali kuhusu hilo nimekuwa nikisaidia sana jamii inayonizunguka hivyo imkuwa kimbilio lao kila tatizo sasa kwa hili liko nje ya uwezo wangu ndio maana nikaomba msaada kwa wadau
 
jaman wanajamvi naomba mnisaidie shemeji yenu amekumbwa na tatizo yaan toka ameanza bleeding mwenzi wa tano amekuwa akivuja damu mara kwa mara yani kila baada ya wk moja anatoka damu nyingi amejaribu kwenda kwa dokta kapewa dawa bt tatizo bado lipo naomba msaada tafadhari suluhu ya hili kwa wataalamu wanao jua plz plz plzjaman wanajamvi naomba mnisaidie shemeji yenu amekumbwa na tatizo yaan toka ameanza bleeding mwenzi wa tano amekuwa akivuja damu mara kwa mara yani kila baada ya wk moja anatoka damu nyingi amejaribu kwenda kwa dokta kapewa dawa bt tatizo bado lipo naomba msaada tafadhari suluhu ya hili kwa wataalamu wanao jua plz plz plz
 
Pole sana mkuu kwa tatizo lililomkumba shemeji.

Mie sio mtaalam, vuta subira wataalam watakuja kutoa mwanga kwenye swala lako. Ila unaweza jaribu kumpeleka hospitali zaidi ya moja (kumuona dokta zaidi ya mmoja / mtaalam wa magonjwa ya kina mama) inaweza ikasaidia.

Kila la kheri.
 
Pole sana ngoja Dr Riwa anaweza saidia...... pia anaweza kwenda kuwaona gynaecologists
 
Last edited by a moderator:
jaman wanajamvi naomba mnisaidie shemeji yenu amekumbwa na tatizo yaan toka ameanza bleeding mwenzi wa tano amekuwa akivuja damu mara kwa mara yani kila baada ya wk moja anatoka damu nyingi amejaribu kwenda kwa dokta kapewa dawa bt tatizo bado lipo naomba msaada tafadhari suluhu ya hili kwa wataalamu wanao jua plz plz plzjaman wanajamvi naomba mnisaidie shemeji yenu amekumbwa na tatizo yaan toka ameanza bleeding mwenzi wa tano amekuwa akivuja damu mara kwa mara yani kila baada ya wk moja anatoka damu nyingi amejaribu kwenda kwa dokta kapewa dawa bt tatizo bado lipo naomba msaada tafadhari suluhu ya hili kwa wataalamu wanao jua plz plz plz

Kuna sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kuvuja damu nyingi isiyoendeana na mzunguko wake wa hedhi, na wakati mwingine na maumivu ya tumbo la chini. Ni vigumu saaana kuweza jua tatizo ni nini na kupewa ushauri stahiki kwa kupitia mtu wa kati (yaani wewe LOOK). Inahitaji daktari amuulize maswali mengi tu, kisha amuexamine na kupropose vipimo kadhaa ilikujua kama ni hormonal, physiological au anatomical problem.

Mpeleke kwa daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake (gynaecologist) kwa ajili ya uchunguzi, ushuri na tiba.
 
  • Thanks
Reactions: CAY
kuna watu wanafunga now days kwa waganga ukitembea na mke wa mtu au mme wa mtu una bleed maisha du take measures

pole sana
 
Pia ajaribu tiba ya limao ipo kwenye kitabu cha turejee eden. Kuna mwaka nami nilifuruliza sana na nikawa naingia kwa cku 8 hosp hawakuona kitu. Nilipoanza tiba hii ilikata na cku zikapungua sana. Ajaribu yaweza kumsaidia..maana kwenye kitabu wameandika inasaidia magonjwa ya tumbo ya kina mama.
 
Wana JF nisaidieni hapa wapi ntapata GYNO mtaalam. Mke wangu ana tatizo la kupitiliza hedhi, tulienda kwa gyno wa kwanza akampa dawa, hazikusaidia akasafisha kizazi. Tatizo likaisha baada ya kama miezi 3 tena likajirudia. Tulirudi tena kwake akampa tena dawa zilezile nikaona nitafute mwingine. Nikaenda kwa dk mwingine akafanyiwa ultra sound, akapewa duphaston na sylate-500. Tatizo lilikwisha kwa muda lakini limerudi tena. Naombeni mniambie gyno mwingine mzuri niende huko tafadhali.
 
Kama uko dar muone anna purna wa regency ama shafiq wa agha khan. Ila tatizo kujirudia ni kawaida, hiyo ni hormonal problem. Msikilize dr na mjadili mipango yenu ya siku za baadae.
 
HABARI ZA MCHANA JF DOCTOR
Mwenzenu nina tatizo moja, nikiingia mp huwa napata damu nyingi sana. naweza kubadili pedi mara 3 kutwa halafu huwa zimelowana chapachapa. lakini huwa siumwi tumbo wala kiuno. last year nilikwenda kufanya check up muhimbili, nikaambiwa kuwa nina tatizo la hormonal imbalance, nilipewa vidonge ambavyo nilimeza for 3months, kiukweli ndani ya huo muda nilipata nafuu ila baada ya dawa kuisha hali ile ilirudi. je kuna tiba mbadala? kwani hii hali inanibore sana. asanteni sana
 
Ni muhimu kufahamu tatizo hili limekuwa la muda gani, na mp yako inachukua siku ngapi kuisha, wewe una umri gani, huwa unapata siku zako kila mwezi au la? Mambo mengine ni ya uchunguzi zaidi kwenye njia yako ya uzazi.Hivyo kwa ufupi nakushauri uonane na gynacologist.
 
Back
Top Bottom