Kwa mimi naona penzi la dhati hujumuisha UPENDO, KUELEWANA, KUAMINIANA, KUJADILIANA KATIKA MAMBO YA MAENDELEO NA MENGINEYO, KUTIANA MOYO PALE MNAPO KWAMA.
Jaman hivi mapenzi ya kweli mpaka uvuliwe nguo kweli??? Siami mapenzi ya kweli hutoka moyoni na wala sipesa,,!!!
Ila baadhi ya sisi wanaume tuna amini ivyo na baadhi ya wanawake nao pia huwa ndo wajinga kabisa anaamini akimvulia mwanaume nguo ndo kamaliza!!! Mwisho wake analia! ! Mapenzi ni kuvumiliana nothing else!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.