Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Corona lazima ikukungute weeeJambo la muhimu ni kuwa ni kuzingatia masharti ya kukeep social distancing. Na hayo yalizingatiwa mr.
Mungu atanilinda.
Kipimo pekee cha imani hizi ni UCHAGUZI HURU NA WA HAKI. Ikitokea CHADEMA ikapata A CRASHING DEFEAT mbele ya CCM, hapo wala hapatakuwa na ubishi. Lakini kama Katibu Mkuu Bashiru anakiri kwamba bila mbeleko ya DOLA, CCM inaweza kuondolewa madarakani kama ilivyokuwa kwa KANU, hizi kauli za udhaifu wa CHADEMA zitabakia kuwa ni SENTIMENTS.
Magufuli kawambia hajakataza mikutano km diwani au mbunge anataka mkutano afanye hivyo uchaguz hautahairishwa.
Akili za kuzaliwa zinajenga
Unatoa kauli kwamba CCM haina hofu. Mbona matendo yake ni tofauti kabisa na hiyo kauli yako? Hebu jenga hoja zako kimantiki. Nimekuchambulia hofu ya CCM kwa kauli rasmi ya CCM. Wewe unasema nisubiri? Nisubiri uporaji mungine wa CCM?Kwa ufupi CCM haina hofu ila tulia uone kitachotokea october mwaka huu. Chadema haikupata ushindi kama unavyosema. Kale ka umoja ka ukawa ilikuwa assisting pass kufunga goli. Safari hii hakapo hilo ulitambue.
Ok, nieleze alichomaanishaHukumuelewa alichokuwa anamaanisha Dk Bashiru. Na hili ndio tatizo kubwa la wapinzani.
Hofu ipi fafanua.Unatoa kauli kwamba CCM haina hofu. Mbona matendo yake ni tofauti kabisa na hiyo kauli yako? Hebu jenga hoja zako kimantiki. Nimekuchambulia hofu ya CCM kwa kauli rasmi ya CCM. Wewe unasema nisubiri? Nisubiri uporaji mungine wa CCM?
Alikuwa anamaanisha kutumia dola ili kukeleza ilani ya uchaguzi ya CCM.Wala sio kukandamiza wapinzani na vyama vyao. Mfano Takukuru kudhibiti rushwa na ubadhirifu,umeona kwa macho yako. Polisi kulinda raia na mali zao, hilo unalifahamu maana watu wanalala bila woga. Mengine unajua ila unafumba macho.Ok, nieleze alichomaanisha
Nilicho gundua hapa Jf kuna Mazezeta ya buku 7 yanafunguliwa kwa shift ya usiku ni mazwazwa kweli kweliHukumuelewa alichokuwa anamaanisha Dk Bashiru. Na hili ndio tatizo kubwa la wapinzani.
Huku Lumumba wakianzisha Watekaji security group of companies.Kwa kuwa ni chama cha makamanda wataanzisha kampuni ya ulinzi.. Ufipa Security Group
Sasa wewe ndio hukumwelewa Bashiru. Sikiliza tena clip ya mahojiano ya kipindi cha KONANI. Bashiru aliulizwa swali kwamba vyama vya upinzani vimezuiliwa kufanya mikutano, wakati CCM wanafanya mikutano waziwazi BILA KUZUILIWA na polisi. Upinzani wakijaribu tu wanakumbana na DOLA. Ndipo Bashiru alipoeleza hiyo SERA kwamba CCM iko madarakani na itautumia DOLA kuendelea kubaki madarakani. Angalia hiyo context.Alikuwa anamaanisha kutumia dola ili kukeleza ilani ya uchaguzi ya CCM.Wala sio kukandamiza wapinzani na vyama vyao. Mfano Takukuru kudhibiti rushwa na ubadhirifu,umeona kwa macho yako.Polisi kulinda raia na mali zao, hilo unalifahamu maana watu wanalala bila woga. Mengine unajua ila unafumba macho.