Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,277
Aaaaanyet!! Ees ouy retalAwah in aw ahcaawuk ut.
Anoan adim aegosani aegos.
Aaaaanyet!! Ees ouy retalAwah in aw ahcaawuk ut.
Anoan adim aegosani aegos.
Aaaaanyet!! Ees ouy retal
AwopAwop, retal!
HSIDLIHC SI TAHT......Ha ha ha, wewe!
HSIDLIHC SI TAHT......
isnij opi!! Inehca ibmipu ut!! Akeweleatum.Ah ah ah, aimutiku ilika ogodik ut aweleanu inin akidnaemut.
Aweleataw ut, ajogn eeledneut anaam anukah isnij ay ahcauk.
HSIDLIHC SI TAHT......
Nawatania tu endelea kuwasiliana, inaitwa privacy in Public.Tusamehe.
Hiki kitakuwa ni Kigagagigikoko.lahaja ya wapi?
Hakuna sababu nyingine zaidi ya Magufuli na jinsi anavyoendesha uchumi.wakuu hii imekuwaje hapa au ndio kama ile ya Wall Street crash iliyotokea huko USA kipindi cha Great Depression?View attachment 360639
Owh haya powaNawatania tu endelea kuwasiliana, inaitwa privacy in Public.
Mmmmmhhhh unamdanganyaHiki kitakuwa ni Kigagagigikoko.
Kwani ni lugha gani?Owh haya powa
Mmmmmhhhh unamdanganya
Kiswahili tena kizuri tuKwani ni lugha gani?
ni kindema au kimtang'ataPole wanakufanyia utoto tuu hizo lugha tulichezanazo sana wakati tuko primary.
Mojawapo ya lugha tulizokuwa tunaziongea wakati tuko watoto ni kama hii, unaongeza silabi kwenye kila neno mfano kwenye hii tuliongeza neno BA ,BE,BI, BO, BU kwenye kila neno, sasa tukiwa tunaiongea harakaharaka huwezi kuelewa hata kidogo.
Mfano...NIBIMEBE NUBUNUBUABA SABABUBUNIBI.....
TWEBENDEBE SHUBULEBE......
Sasas hawa wanafanya kinyume chake yaani wanachukua neno mfano SHULE halafu wanaliandika kinyume kama waarabu wanavyoandika hivyo SHULE ataandika ELUHS yaani herufi ya mwisho ndo inakuwa ya kwanza kuandikwa. Yataka muda na wasaa kufanya hayo.
menyuki?Anuk ozitat? Anaam anoajis ilaham anakutemin utm, amak utm akerekana idibani ehemasa ut. Anukah iris etoyoy eynewk akidnaohcanut apah.
menyuki?