Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

tamsana

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
3,235
7,099
Kazi iendelee!

Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.

Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.

Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.

IMG-20220728-WA0008.jpg
 
Kazi iendelee!

Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.

Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.

Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.

View attachment 2306732
warudi vyuo huko mawizarani wanadhalilisha tu taaluma zao.
 
Hawa ni Maprofesa wa makaratasi tu ! Duniani hawajui kitu! Huyu Profesa uchwara so ndo alituambia Samia ktk kipindi kifupi ameingizia TAIFA Dola (USD) bilioni sijui mia ngapi!
Profesa wa Uchumi hajua hata maana ya Dola(USD) bilioni 1.Huyo hata angepelekwa kuwa Katibu Tarafa angekubali tu!
 
Nchi hii siku ikiacha kuabudu vyeti vya shule pekee na kuangalia ufanisi sidhani kama tutatoka hapo tulipo kwenda hatua nyingine. Kuna shida kubwa sana ya elimu zetu na bahati mbaya tunapeana nafasi sababu ya vyeti bila kuangalia na mambo mengine ya utendaji kazi. Angalia wafanya biashara wa kubwa sio wasomi na hata viongozi bora kutokea pia sio wasomi. Nchi hii tumefika hapa sababu ya hawa hawa wasomi ni wakati utendaji na ufanisi iwe kigezo bila kudharau elimu tufanye mix ya vyote.
 
Back
Top Bottom