UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,520
- 7,723
Kwani hakuaga nyumbani?Huyo JAFFO mnamtajataja mwisho apigwe kombora kijana wa kisarawe bure.
Kwani hakuaga nyumbani?Huyo JAFFO mnamtajataja mwisho apigwe kombora kijana wa kisarawe bure.
Waliponzwa na sifa fake.Hao wooote siyo watendaji. Ni ''wasanii'' vilaza waliobebwa na ujinga na ulimbukeni wa watanzania. Kimsingi mtu yeyote anayeweza ''usanii'' kwenye maisha ana nafasi ya kuwa maarufu Tanzania hata awe mjinga kiasi gani.
CCM inaficha mtaji wake msije mkauchafua na kashfa uchwara!Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.
Nini kimewatuliza?
Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.
Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Magufuli milele tenaNajua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.
Nini kimewatuliza?
Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.
Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Majibu....Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.
Nini kimewatuliza?
Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.
Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo
Maendeleo hayana vyama!