Nini kimetokea hadi vijana maarufu wa CCM akina January, Nape, Kigwangalla, Makonda, Gambo nk kuzimika ghafla?

Hao wooote siyo watendaji. Ni ''wasanii'' vilaza waliobebwa na ujinga na ulimbukeni wa watanzania. Kimsingi mtu yeyote anayeweza ''usanii'' kwenye maisha ana nafasi ya kuwa maarufu Tanzania hata awe mjinga kiasi gani.
Waliponzwa na sifa fake.
 
Tumuache Raisi aendeshe serekali yake atakavyo. Ushauri ni kuwa " USITUPE MBACHAO KWA MSALA UPITAO"
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
CCM inaficha mtaji wake msije mkauchafua na kashfa uchwara!
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Magufuli milele tena
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Majibu....

Kuna Mmoja hapo tabia yake ya Kupenda kuwa King'asti ( Pimp ) kwa Viongozi wakubwa Kumemponza ( Mwezi huu )
Kuna Mmoja hapo tabia yake ya Unafiki na Kujiamini kupita Kiasi Kumemgharimu ( Napenda JF )
Kuna Mmoja hapo tabia yake ya Kupenda Kutongoza hovyo Wanawake ( tena Mahawara ) wa Wakubwa Kumemponza ( Piga Ngwala )
Kuna Mmoja hapo dossier yake kutoka Usalama imeonyesha ni Hatari kwa Msukuma mwenzie hivyo ametoswa huku akifuatiliwa ( Kondakta )
Kuna Mmoja hapo Kukomaa Kwake Kiushirikina na kupenda Kujipendekeza kwa Wakubwa na akiwa Muongo Kumemgharimu ( La Mgambo likilia )
 
Back
Top Bottom