Nini kimetokea hadi vijana maarufu wa CCM akina January, Nape, Kigwangalla, Makonda, Gambo nk kuzimika ghafla?

Ila Majaliwa anaweza, na anafaa isipokuwa, asije akatumia kukaza mkanda Sana, watu wataogopa kukaza mkananda for 20years, ni parefu mbaya!
Majaliwa atakuwa katili kuliko hata huyo jiwe
Pale yuko tu na ngozi ya kondo na kwa kuwa yeye siyo mshika rungu hatuwezi kuona balaa lake
 
Majaliwa atakuwa katili kuliko hata huyo jiwe
Pale yuko tu na ngozi ya kondo na kwa kuwa yeye siyo mshika rungu hatuwezi kuona balaa lake
Atakuwa PM wa kwanza kujaribu na kufanikiwa. Lakini pia tusisahau jamaa wana mpango na term limit
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Angalau wao wanatafakari bunge la chama kimoja.
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Ile dhana ya kuwa Ccm ni mali ya ukoo flani imeisha?
 
Nimekuelewa bwashee.

Nyota ya Daktari Mwigullu Nchemba bado inang'aa!
Ukiona wengine wanafifia,au wanapotea ujue kuwa kuna wapya waneibuka na wanang'aa.
Hao uliowataja washatumika nae pengine muda wao wa matumizi umeisha,au upepo wao umepita au wamezamishwa makusudi kwa sababu maalumu za walioshika mpini au madaraka.
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Wamebadilishana tu. Ccm ina akiba kibao hivyo hivyo wale bora kwa aina ya mapambano wakati huo ndio wanatumika.
 
Hamna kijana hapo wote mikangafu,watu wana 40- 45+ unasema vijana.tena hako ka patrobasi ni kakubwa alianza kuwa mwalimu.
 
Back
Top Bottom