Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,989
- 103,373
Hivi kijana mwisho miaka mingapi ? Molel naye kijana ???
Kwa ccm kijana mwisho ni miaka 60.
Hivi kijana mwisho miaka mingapi ? Molel naye kijana ???
Majaliwa atakuwa katili kuliko hata huyo jiweIla Majaliwa anaweza, na anafaa isipokuwa, asije akatumia kukaza mkanda Sana, watu wataogopa kukaza mkananda for 20years, ni parefu mbaya!
Atakuwa PM wa kwanza kujaribu na kufanikiwa. Lakini pia tusisahau jamaa wana mpango na term limitMajaliwa atakuwa katili kuliko hata huyo jiwe
Pale yuko tu na ngozi ya kondo na kwa kuwa yeye siyo mshika rungu hatuwezi kuona balaa lake
Au wewe ndo Jaffo Bwashee?Jaffo siyo Kingwendu bwashee!
Term limit, ipo tunaijua, tushaizoe, haigusiki kwa - +!Atakuwa PM wa kwanza kujaribu na kufanikiwa. Lakini pia tusisahau jamaa wana mpango na term limit
Angalau wao wanatafakari bunge la chama kimoja.Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.
Nini kimewatuliza?
Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.
Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Ile dhana ya kuwa Ccm ni mali ya ukoo flani imeisha?Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.
Nini kimewatuliza?
Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.
Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Jamaa gani jaduong funguka.Atakuwa PM wa kwanza kujaribu na kufanikiwa. Lakini pia tusisahau jamaa wana mpango na term limit
Ukiona wengine wanafifia,au wanapotea ujue kuwa kuna wapya waneibuka na wanang'aa.Nimekuelewa bwashee.
Nyota ya Daktari Mwigullu Nchemba bado inang'aa!
Wamebadilishana tu. Ccm ina akiba kibao hivyo hivyo wale bora kwa aina ya mapambano wakati huo ndio wanatumika.Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.
Nini kimewatuliza?
Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.
Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Kwani ni mzee?!
ObinghweJamaa gani jaduong funguka.
Jaduong mimi huwa napenda kutoa maoni bila kujali mlengo.Obinghwe
Yaani kuna watu wana vimavi kweli maishani mwao. Yaani huyu mbona km simuelewi lkn ndio hivyo ni mheshimiwa tena mheshimiwa sanaHuyu mzee kabisa hadi kuongea kwake kwa shida nakumbuka alimuombea JPM Corona badala ya kura.View attachment 1669057
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app