GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,875
Sijawahi kuona Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli akitoa Hotuba huku akiwa mpole, makini, hana maneno mengi kama tulivyomzoea halafu akiwa si mchangamfu kama kawaida yake na ukienda mbali zaidi ukitumia Saikolojia ya Kimwonekano utagundua kuna jambo au kuna kitu.
Je nimeona hili peke yangu tu?
Nawasilisha.
Je nimeona hili peke yangu tu?
Nawasilisha.