Nini kimesababisha Tech Hubs kufeli Tanzania?

Kang

JF-Expert Member
Jun 24, 2008
5,495
2,251
Nimesoma hii ripoti kuwa Tech Hub zinakua kwa kasi sana Africa, Nigeria kuna hubs 55, Kenya 30 na hata Zimbabwe ina hubs 13.

Lakini cha kushangaza ni kwamba Tanzania inaonekana hazijashika moto kabisa na hata baadhi ya zilizokuwepo miaka 2-3 nyuma zimepotea (Kinu Hub), nadhani kuna Buni HUB kwa sasa.

Tatizo ni nini?

hub.png

Link: Africa’s newest startup hubs are expanding beyond its legacy tech markets
 
Tech hubs ndo nini?
Kwa tafsiri isiyo rasmi ( Kwa uelewa wangu).
Tech hubs ni eneo/mji/ ofisi au kijiji kinachokusanya wataalamu/wanafunzi/wakufunzi/wafanyakazi mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia kukuza uwezo wao wa technolojia mbalimbali ili kufikia mafanikio ya juu kwenye gunduzi mbalimbali. Mfano mfikie uwezo wa FB n.k.
Asante na karibu.
 
hub mimi naelewa ni sehemu ya kutunza na kuwasaidia waathirika wa madawa ya kulevya
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi ( Kwa uelewa wangu).
Tech hubs ni eneo/mji/ ofisi au kijiji kinachokusanya wataalamu/wanafunzi/wakufunzi/wafanyakazi mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia kukuza uwezo wao wa technolojia mbalimbali ili kufikia mafanikio ya juu kwenye gunduzi mbalimbali. Mfano mfikie uwezo wa FB n.k.
Asante na karibu.
Tuelimishe zaidi kama inawezekana. Kwani BUNI pale mmiliki ni nani, ni taasisi ya serikali, inajitegemea au kuna wafadhili ?
 
Nimesoma hii ripoti kuwa Tech Hub zinakua kwa kasi sana Africa, Nigeria kuna hubs 55, Kenya 30 na hata Zimbabwe ina hubs 13.

Lakini cha kushangaza ni kwamba Tanzania inaonekana hazijashika moto kabisa na hata baadhi ya zilizokuwepo miaka 2-3 nyuma zimepotea (Kinu Hub), nadhani kuna Buni HUB kwa sasa.

Tatizo ni nini?

View attachment 734016
Link: Africa’s newest startup hubs are expanding beyond its legacy tech markets
Mimi kama mmoja wa wahanga wa hii kitu!
Tatizo ni ubinafsi wa viongozi waliochaguliwa kusimamia hizi startup hubs ni walafi na wa binafsi...ukifika pale costech kwa mfsno kwenye mafile tuna so many startups ventures kwenye ukweli zero.
Kenya wenzetu wapo mbali sana.Sisi bado sana
 
Ukweli ni kua nobody cares, tusilaumu serikali maana hata tech companies za bongo pia hazijali, nimekaa nje karibia kila top company ina incubation centres za startups. Bongo the government doesnt care, big companies dont care. Ni kama hawaoni umuhimu wa technology. Wote wameridhika na nafasi waliyo nayo, they dont want to expand.
 
Dah! nikweli Kenya wapo mbele, na kama sijakosea pia Rwanda watakua wapo katika nafasi nzuri dhidi yetu maana nilikuwa nikiona taarifa kadhaa BBC juu ya hizi hub katika nchi hizo.
 
Nimesoma hii ripoti kuwa Tech Hub zinakua kwa kasi sana Africa, Nigeria kuna hubs 55, Kenya 30 na hata Zimbabwe ina hubs 13.

Lakini cha kushangaza ni kwamba Tanzania inaonekana hazijashika moto kabisa na hata baadhi ya zilizokuwepo miaka 2-3 nyuma zimepotea (Kinu Hub), nadhani kuna Buni HUB kwa sasa.

Tatizo ni nini?

View attachment 734016
Link: Africa’s newest startup hubs are expanding beyond its legacy tech markets
Kitaaluma mimi sio mtaalam wa IT, ila kwa upeo wangu naona kuna tatizo kwa it wa bongo!

Matatizo mengi yanaanzia hapa...

Kwanza ubinafsi

Pili kila mtu mjuaji

Usitarajie watu wa aina hii ikawaweka sehem moja mkaelewana, zaidi tu wale wa dit wataanza kujiona wao ni bora wa udsm au sua au mzumbe!!

Mwisho wengi wanasoma IT simply because walikua hawana option, yaani by default mtu anajikuta ifm anasoma computer science!! Hana passion, hana ubinifu!! Yaani yeye ni php, html, css baaasi mengine haya muhusu!!

Labda nikuulize, nje watu wana meetups yaani watu wa IT mnakutana na kujadili na kujifunza, je hapa ishafanyika lini??

Katika hili la hubs wala serikali isilaumiwe!!
 
Dah! nikweli Kenya wapo mbele, na kama sijakosea pia Rwanda watakua wapo katika nafasi nzuri dhidi yetu maana nilikuwa nikiona taarifa kadhaa BBC juu ya hizi hub katika nchi hizo.
Sisi tupo tunashindana udsm na mzumbe kipi chuo bora...
 
Hubs zinakufa maana watu wa I.t na com.science wameweka pesa mbele kwa kupiga mpunga kupitia YouTube na blobs
 
Ukweli ni kua nobody cares, tusilaumu serikali maana hata tech companies za bongo pia hazijali, nimekaa nje karibia kila top company ina incubation centres za startups. Bongo the government doesnt care, big companies dont care. Ni kama hawaoni umuhimu wa technology. Wote wameridhika na nafasi waliyo nayo, they dont want to expand.
ukweli usiofichika huu
 
Back
Top Bottom