GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Karibia 90% ya Mabinti ambao nawajua walikuwa wamepanga maeneo ya Mbezi Beach, Tegeta Masaiti, Upanga, Mwenge, Makumbusho, Kijitonyama, Sinza na Kimara wamerudisha Vyumba / Nyumba na sasa wamerudi kuungana na Baba na Mama zao huko makwao kuendelea na maisha yao.
Nini imepelekea hii hali? Tatizo ni nini hasa?
Nawasilisha.
Nini imepelekea hii hali? Tatizo ni nini hasa?
Nawasilisha.