Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wakuu,
Taarifa zilizopo ni kuwa mama huyu ameamua kuachia ngazi ghafla na amekuwa katika nafasi hii tangu 2015.
Mama huyu ni mtaalamu aliyebobea kwenye hesabu na mifumo ya kompyuta.
Kalazimishwa? Kasoma dalili mbaya mbele? Kuna kitu nyuma ya pazia?
Taarifa zilizopo ni kuwa mama huyu ameamua kuachia ngazi ghafla na amekuwa katika nafasi hii tangu 2015.
Mama huyu ni mtaalamu aliyebobea kwenye hesabu na mifumo ya kompyuta.
Kalazimishwa? Kasoma dalili mbaya mbele? Kuna kitu nyuma ya pazia?