ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,723
Hili swali najiuliza sana kwanini matukio ya ujambazi yamepungua sana Kama sio kuisha kabisa.ukisema kwamba jeshi la polisi limeimarisha ulinzi bado haingii akilini kwani maeneo mengi tu hakuna Doria miaka yote mpaka kesho.
Labda tufanye watu hawana hela cash ndio maana majambazi hawajisumbui ila pamoja na hilo tungesikia hata nyumba zinavamiwa Watu wanasepa hata na tv flat wanaenda kuuza maana maisha bado ni magumu.
Au tuseme Mheshimiwa Rais Magufuli amesababisha hii hali ya uhalifu wa kuiba majumbani kwa watu uishe - how? Kwamba ameongeza ajira kiasi wahuni wameamua kuacha ujambazi?
Labda tufanye watu hawana hela cash ndio maana majambazi hawajisumbui ila pamoja na hilo tungesikia hata nyumba zinavamiwa Watu wanasepa hata na tv flat wanaenda kuuza maana maisha bado ni magumu.
Au tuseme Mheshimiwa Rais Magufuli amesababisha hii hali ya uhalifu wa kuiba majumbani kwa watu uishe - how? Kwamba ameongeza ajira kiasi wahuni wameamua kuacha ujambazi?