https://jamii.app/JFUserGuide offWrite your reply...huu uzi upo humu tangu mchana
https://jamii.app/JFUserGuide offWrite your reply...huu uzi upo humu tangu mchana
Abraham Lincoln once said,Hapo anasema kabla ya kuwa Rais JPM alikuwaje na sasa yukoje na wapinzani!
Ulivyofikiri ndivyo na mimi nimefikiri.Wanajaribu kuonyesha kuwa Magu hana chuki na upinzani.
In short,nafsi zao zinawatesa.
Damage repair ni kuwawajibisha wale waliohusika kumdhuru na kumdhalilisha.
Kuonyesha kwenye issue za Kitaifa, Watanzania we are one, tuungane, tushikamane, tushirikiane kama picha zinavyoonyesha.Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
Hii hawezi kuwa ni damage control?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
hapa naona kama marais wote hawakupoteza mudaNajiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
Hii hawezi kuwa ni damage control?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
hapa naona kama marais wote hawakupoteza mudaKuonyesha kwenye issue za Kitaifa, Watanzania we are one, tuungane, tushikamane, tushirikiane kama picha zinavyoonyesha.
P