Nini kimeikuta Serikali ya Tozo na Kodi.

jiwe angavu

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
19,058
35,833
Wakuu heri ya mwaka mpya 2022

Nisiwachoshe sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Tangu awamu ya Tano kuingia madarakani..2015..tulikua tukipewa updates kuhusiana na ukusanyaji wa kodi wmza watanzania kupitia chombo chetu cha ukusanyaji kodi TRA..taarifa hizi zilitolewa kila mwezi,hivyo walipa kodi walifahamu makusanyo ya kodi zao kwa mwezi..kwa robo mwaka,nusu mwaka na mwaka mzima.

Hii kupelekea wengi kuiamini serikali iliyokua chini ya later JPM.
Tangu kuingia kwa raisi wa 6 SSH..ambaye mimi naamini anamalizia ungwe ya awamu ya 5..rais SSH alingia na kauli mbiu ya kazi iendelee hakika kazi zinendelea na tunaziona.

Hivyo mwanzoni taarifa za ukusanyaji wa mapato zilitolewa na chombo chetu cha ukusanyaji wa kodi.

Pia tangu kuanza kwa tozo za miamala ya simu tulipewa taarifa ambapo zilikusanywa takribani 48b mwezi Agosti mwaka 2021...na kuelekezwa matumizi yake katika kufanikisha lengo nadhima ya ungwe hii ya kazi iendelee.

Swali langu je? Utaratibu wa kutoa taarifa za kodi na tozo na matumizi yake kwa walipa kodi umeishia wapi je kazi haiendelei tena?
Au tumegeukia new norm ya kutembeza bakuri na kujifia tunauwezo wa kukopesheka.

Je ile dhana ya ujamaa na kujitegemea imepitwa na wakati?

Mungu ibariki Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama
Screenshot_20220101-153939_Google.jpg
 
Wakuu heri ya mwaka mpya 2022

Nisiwachoshe sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Tangu awamu ya Tano kuingia madarakani..2015..tulikua tukipewa updates kuhusiana na ukusanyaji wa kodi wmza watanzania kupitia chombo chetu cha ukusanyaji kodi TRA..taarifa hizi zilitolewa kila mwezi,hivyo walipa kodi walifahamu makusanyo ya kodi zao kwa mwezi..kwa robo mwaka,nusu mwaka na mwaka mzima.

Hii kupelekea wengi kuiamini serikali iliyokua chini ya later JPM.
Tangu kuingia kwa raisi wa 6 SSH..ambaye mimi naamini anamalizia ungwe ya awamu ya 5..rais SSH alingia na kauli mbiu ya kazi iendelee hakika kazi zinendelea na tunaziona.

Hivyo mwanzoni taarifa za ukusanyaji wa mapato zilitolewa na chombo chetu cha ukusanyaji wa kodi.

Pia tangu kuanza kwa tozo za miamala ya simu tulipewa taarifa ambapo zilikusanywa takribani 48b mwezi Agosti mwaka 2021...na kuelekezwa matumizi yake katika kufanikisha lengo nadhima ya ungwe hii ya kazi iendelee.

Swali langu je? Utaratibu wa kutoa taarifa za kodi na tozo na matumizi yake kwa walipa kodi umeishia wapi je kazi haiendelei tena?
Au tumegeukia new norm ya kutembeza bakuri na kujifia tunauwezo wa kukopesheka.

Je ile dhana ya ujamaa na kujitegemea imepitwa na wakati?

Mungu ibariki Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2065167
Bora hata hawa wameamua kukaa kimya kuliko matangopori tuliyokuwa tunalishwa na serikali ya Mwendazake.
 
Hii nchi ni nyepesi sana kuiongoza tatizo ni aina ya kiongozi wa kuiongoza ndiye hajapatikana.

Kuna mmoja aliwahi kuwaambia ukiona mambo magumu hamia Burundi na akaongeza 'MTASAHAU TU' kweli hatimaye mmesahau kila kitu na ndiyo maana yake from this article.
 
Iko bize na bilion 6000 dola za Marekani ambayo ukibadili kwenda pesa ya madafu inakuwa mashidabhalwa
US$ 6,000,000,000,000 ni sawa na shilingi ngapi za madafu
 
Shida ipo hapa: Ukisoma mapato, usome na matumizi.
Ukisoma matumizi wananchi watachambua kujua kama je matuumizi hayo pia hayajafungamana na mikopo?
 
Wakuu heri ya mwaka mpya 2022

Nisiwachoshe sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Tangu awamu ya Tano kuingia madarakani..2015..tulikua tukipewa updates kuhusiana na ukusanyaji wa kodi wmza watanzania kupitia chombo chetu cha ukusanyaji kodi TRA..taarifa hizi zilitolewa kila mwezi,hivyo walipa kodi walifahamu makusanyo ya kodi zao kwa mwezi..kwa robo mwaka,nusu mwaka na mwaka mzima.

Hii kupelekea wengi kuiamini serikali iliyokua chini ya later JPM.
Tangu kuingia kwa raisi wa 6 SSH..ambaye mimi naamini anamalizia ungwe ya awamu ya 5..rais SSH alingia na kauli mbiu ya kazi iendelee hakika kazi zinendelea na tunaziona.

Hivyo mwanzoni taarifa za ukusanyaji wa mapato zilitolewa na chombo chetu cha ukusanyaji wa kodi.

Pia tangu kuanza kwa tozo za miamala ya simu tulipewa taarifa ambapo zilikusanywa takribani 48b mwezi Agosti mwaka 2021...na kuelekezwa matumizi yake katika kufanikisha lengo nadhima ya ungwe hii ya kazi iendelee.

Swali langu je? Utaratibu wa kutoa taarifa za kodi na tozo na matumizi yake kwa walipa kodi umeishia wapi je kazi haiendelei tena?
Au tumegeukia new norm ya kutembeza bakuri na kujifia tunauwezo wa kukopesheka.

Je ile dhana ya ujamaa na kujitegemea imepitwa na wakati?

Mungu ibariki Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2065167
Wewe unahangaika bure na chuki zako kwa Hangaya hazitasaidia kukupa ahueni ya maisha.

Kilichoikuta ni hiki hapa 👇

IMG-20220101-WA0020.jpg


Screenshot_20220102-155444.png


Screenshot_20220102-155026.png


Screenshot_20220102-155425.png
 
Wakuu heri ya mwaka mpya 2022

Nisiwachoshe sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Tangu awamu ya Tano kuingia madarakani..2015..tulikua tukipewa updates kuhusiana na ukusanyaji wa kodi wmza watanzania kupitia chombo chetu cha ukusanyaji kodi TRA..taarifa hizi zilitolewa kila mwezi,hivyo walipa kodi walifahamu makusanyo ya kodi zao kwa mwezi..kwa robo mwaka,nusu mwaka na mwaka mzima.

Hii kupelekea wengi kuiamini serikali iliyokua chini ya later JPM.
Tangu kuingia kwa raisi wa 6 SSH..ambaye mimi naamini anamalizia ungwe ya awamu ya 5..rais SSH alingia na kauli mbiu ya kazi iendelee hakika kazi zinendelea na tunaziona.

Hivyo mwanzoni taarifa za ukusanyaji wa mapato zilitolewa na chombo chetu cha ukusanyaji wa kodi.

Pia tangu kuanza kwa tozo za miamala ya simu tulipewa taarifa ambapo zilikusanywa takribani 48b mwezi Agosti mwaka 2021...na kuelekezwa matumizi yake katika kufanikisha lengo nadhima ya ungwe hii ya kazi iendelee.

Swali langu je? Utaratibu wa kutoa taarifa za kodi na tozo na matumizi yake kwa walipa kodi umeishia wapi je kazi haiendelei tena?
Au tumegeukia new norm ya kutembeza bakuri na kujifia tunauwezo wa kukopesheka.

Je ile dhana ya ujamaa na kujitegemea imepitwa na wakati?

Mungu ibariki Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2065167


Kwanini hivi wenyewe hawabani matumizi? Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya serikali.

Mfano V8 siyo muhimu kivile. Wanaweza kutumia magari mengine imara tu lakini bei nafuu.
 
Kwanini hivi wenyewe hawabani matumizi? Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya serikali.

Mfano V8 siyo muhimu kivile. Wanaweza kutumia magari mengine imara tu lakini bei nafuu.
Mbona mzalendo uchwara mwendazake alishindwa kubana hayo matumizi? Akaishia kuruhusu wakurugenzi mafisadi walionunua magari kwa mil.400 Kodi za Wananchi,mlikuwa wapi kumuuliza?
 
Wakuu heri ya mwaka mpya 2022

Nisiwachoshe sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Tangu awamu ya Tano kuingia madarakani..2015..tulikua tukipewa updates kuhusiana na ukusanyaji wa kodi wmza watanzania kupitia chombo chetu cha ukusanyaji kodi TRA..taarifa hizi zilitolewa kila mwezi,hivyo walipa kodi walifahamu makusanyo ya kodi zao kwa mwezi..kwa robo mwaka,nusu mwaka na mwaka mzima.

Hii kupelekea wengi kuiamini serikali iliyokua chini ya later JPM.
Tangu kuingia kwa raisi wa 6 SSH..ambaye mimi naamini anamalizia ungwe ya awamu ya 5..rais SSH alingia na kauli mbiu ya kazi iendelee hakika kazi zinendelea na tunaziona.

Hivyo mwanzoni taarifa za ukusanyaji wa mapato zilitolewa na chombo chetu cha ukusanyaji wa kodi.

Pia tangu kuanza kwa tozo za miamala ya simu tulipewa taarifa ambapo zilikusanywa takribani 48b mwezi Agosti mwaka 2021...na kuelekezwa matumizi yake katika kufanikisha lengo nadhima ya ungwe hii ya kazi iendelee.

Swali langu je? Utaratibu wa kutoa taarifa za kodi na tozo na matumizi yake kwa walipa kodi umeishia wapi je kazi haiendelei tena?
Au tumegeukia new norm ya kutembeza bakuri na kujifia tunauwezo wa kukopesheka.

Je ile dhana ya ujamaa na kujitegemea imepitwa na wakati?

Mungu ibariki Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2065167
TRA inasemaje? Ilikuwa ni wajibu wake au ni shinikizo za kisiasa?
Kukusanya ni jambo moja, matumizi ni jambo tofauti. Je zinatumiwa aje, kuna usimamizi au ni matakwa ya mtu anavyojisikia?
 
Bora hata hawa wameamua kukaa kimya kuliko matangopori tuliyokuwa tunalishwa na serikali ya Mwendazake.
Za mwendazake mkisema data za kupika. Kwa taarifa ya jana serikali imekusanya 2.6 trilioni kwa mwezi Desemba pekee, je hizi nazo za kupika?
 
Back
Top Bottom