Cement haionekani mtaani!!
Magari ya kampuni yanafanya kazi za kusomba somba mizigo huku mitaani ambayo haihusiani na kiwanda (kwa kifupi madereva wanatumia magari kwa manufaa yao au tuseme wamejimilikisha magari?
Michezo ya magari na vifaa vyake haielezeki.
Tuambiane nini kimetokea kwa wanaofahamu?
Haupo seriazi,ile kampuni ni babu kubwa na mishahara ni babu kubwa.Hakuna dereva anayepokea chini ya shilingi milioni moja.250,000/= kwa mwezi?Acha kuchangamsha genge mkuu!!!Mshahara wenyewe ni 250000 tu kwa mwezi,wacha wale vichwa tu
Mhhhh.........Haupo seriazi,ile kampuni ni babu kubwa na mishahara ni babu kubwa.Hakuna dereva anayepokea chini ya shilingi milioni moja.250,000/= kwa mwezi?Acha kuchangamsha genge mkuu!!!
Kiwanda kinapiga kazi fresh tuDangote anajuta kuwekeza nchi hii. Na nina uhakika kwenye forums za investors anatupaka vilivyo. Tusitegemee uwekezaji usiokuwa na government guarantee as long as Jiwe yupo madarakani.
Inategemea na wewe mwenye mzigo uko makini kiasi gani!! Japo kuna karatasi yenye onyo juu ya mzigo ambao sio wa dangote ukikutwa umepakiwa, unataifishwa!!! Mimi mbona huwa nawatumia sana kusafirisha mizigo yangu!!kuna jamaa yangu aliibiwa na dereva wa dangote mzigo wa million7 toka kahama kwenda Dar
zilikuwa tenga 80 za nyanya
usilogwe upakize mzigo wako na lorry za dangote, madereva wake wezi balaa
Kwani mkuu wale waliokuwa wanawatumia picha pindi wakiliona gari la dangote limepakia mzigo tofauti na wa kampuni, wameshindwa kazi?!! Kumzibiti mbongo ni kazi sana, njaa ni jitu baya sana!!!! Lazima ujifunze mbinu nyingine!!! Hiyo ya picha pamoja na vts vimedunda!! Ila bwana kwa uendeshaji tu wanaweza, siku nimesafirisha mzigo wangu, na mimi nikawemo daaaa, hiyo safari sitakuja isahau kamwe!!Hawaruhusiwi kubeba mzigo zaidi cement na mawe ya gypsum ,Kama wanna mizigo tofaut na huo toen taarifa kituo chochote Cha police.
kama ungetoa malalamiko cement ya Dangote ipo juu bahadhi ya maeneo ya Wilaya ya Mkulanga, Kibiti, Rufiji na Kilwa kuliko inavyouzwa Dar ungesaidia sanaCement haionekani mtaani!!
Magari ya kampuni yanafanya kazi za kusomba somba mizigo huku mitaani ambayo haihusiani na kiwanda (kwa kifupi madereva wanatumia magari kwa manufaa yao au tuseme wamejimilikisha magari?
Michezo ya magari na vifaa vyake haielezeki.
Tuambiane nini kimetokea kwa wanaofahamu?
Kiwanda dhofu lhali, gharama za uzalishaji zkmekua juu tofauti na ilivyotegemewa kwa kutumia Makaa ya mawe kutoka SA
Kiwanda kinapiga kazi fresh tu
Kwani mkuu wale waliokuwa wanawatumia picha pindi wakiliona gari la dangote limepakia mzigo tofauti na wa kampuni, wameshindwa kazi?!! Kumzibiti mbongo ni kazi sana, njaa ni jitu baya sana!!!! Lazima ujifunze mbinu nyingine!!! Hiyo ya picha pamoja na vts vimedunda!! Ila bwana kwa uendeshaji tu wanaweza, siku nimesafirisha mzigo wangu, na mimi nikawemo daaaa, hiyo safari sitakuja isahau kamwe!!
Kiwanda dhofu lhali, gharama za uzalishaji zkmekua juu tofauti na ilivyotegemewa kwa kutumia Makaa ya mawe kutoka SA
Samahani mkuu aliibiwaje? Alipakia mzigo kisha akapanda usafiri mwingine? Usipende kujumuisha watu katika tuhumakuna jamaa yangu aliibiwa na dereva wa dangote mzigo wa million7 toka kahama kwenda Dar
zilikuwa tenga 80 za nyanya
usilogwe upakize mzigo wako na lorry za dangote, madereva wake wezi balaa
Labda alipakiza kiboya boya tu!! Amelisimamisha barabarani, akapakiza mzigo bila kuchukua namba ya gari wala ya dreva unategemea nini kama dreva mwenyewe ni muhuni? Na yanafanana kila kitu isipokuwa namba za usajiri na zile za pembeni!! Na huwezi kwenda ofisini kulalamika kwa tahadhari ipo kwenye gari imebandikwa!!! Wale inabidi ukomane nao anatia gia uko pembeni yake!! Ila mwendo wao mmm!!! Sio rafiko kwa mpenda uhai!!!Samahani mkuu aliibiwaje? Alipakia mzigo kisha akapanda usafiri mwingine? Usipende kujumuisha watu katika tuhuma