Habari wakuu,
Ni siku ya tano leo ombi lango la kufungua Kampuni halijafanyiwa kazi, status bado "making final decesion" naona hakuna tena email yao wala status change.
Walisharudisha mara tatu nikafanya correction.
Nina shida? Nahitaji Kampuni yangu ianze kazi mapema. Je nifanye nini wadau?
Ni siku ya tano leo ombi lango la kufungua Kampuni halijafanyiwa kazi, status bado "making final decesion" naona hakuna tena email yao wala status change.
Walisharudisha mara tatu nikafanya correction.
Nina shida? Nahitaji Kampuni yangu ianze kazi mapema. Je nifanye nini wadau?