Kiswele nadhani lilikuwa na injili za rocketKwa sisi wazee wa zamani tunakumbuka sana Mabus haya...
1. Fresh ya Shamba
2. Safina
3. Kwacha
4. Zainabu
5. Kiswele
6. Matema
7. Masia
8. Tawaqal
Hawa walikuwa wakongwe wa barabara za nyanda ya juu kusini. Miaka hiyo ya nyuma. Nini kilitokea mpaka wakafirisika na kupotea katika ramani ya dunia?
Nakumbuka magari ya Kiswele yalikuwa yanaozea hapo Mabibo External. Sijui yakaenda wapi tena.
Je matajiri wa sasa wa Mabus kuna kitu wamejifunza toka kwa wakongwe hawa? Anyway...mi nashauri kwa siku moja katika mwaka bus zinazoenda njia hiyo zisimame mikumi kwa dk 3 kama kumbukumbu kwa malejendari hawa wa usafiri wa miaka hiyo
Ngorika kapotea Mkuu,Wapewe heshima ,Dar express na Ngorika , walikuwa nao hao wote na Hadi leo wapo kwenye game
Sent
Tawaqal ipo bana, wanapiga route za nje ya nchi wako ofisi yao iko maeneo ya fire(faya) townKwa sisi wazee wa zamani tunakumbuka sana Mabus haya...
1. Fresh ya Shamba
2. Safina
3. Kwacha
4. Zainabu
5. Kiswele
6. Matema
7. Masia
8. Tawaqal
Hawa walikuwa wakongwe wa barabara za nyanda ya juu kusini. Miaka hiyo ya nyuma. Nini kilitokea mpaka wakafirisika na kupotea katika ramani ya dunia?
Nakumbuka magari ya Kiswele yalikuwa yanaozea hapo Mabibo External. Sijui yakaenda wapi tena.
Je matajiri wa sasa wa Mabus kuna kitu wamejifunza toka kwa wakongwe hawa? Anyway...mi nashauri kwa siku moja katika mwaka bus zinazoenda njia hiyo zisimame mikumi kwa dk 3 kama kumbukumbu kwa malejendari hawa wa usafiri wa miaka hiyo
Kwa sisi wazee wa zamani tunakumbuka sana Mabus haya...
1. Fresh ya Shamba
2. Safina
3. Kwacha
4. Zainabu
5. Kiswele
6. Matema
7. Masia
8. Tawaqal
Hawa walikuwa wakongwe wa barabara za nyanda ya juu kusini. Miaka hiyo ya nyuma. Nini kilitokea mpaka wakafirisika na kupotea katika ramani ya dunia?
Nakumbuka magari ya Kiswele yalikuwa yanaozea hapo Mabibo External. Sijui yakaenda wapi tena.
Je matajiri wa sasa wa Mabus kuna kitu wamejifunza toka kwa wakongwe hawa? Anyway...mi nashauri kwa siku moja katika mwaka bus zinazoenda njia hiyo zisimame mikumi kwa dk 3 kama kumbukumbu kwa malejendari hawa wa usafiri wa miaka hiyo
Yap! Hao ni vijana wake wawili Mmoja anaitwa Balthazar mwingine nimemsahau ila anaanza na B, M ni MakundiKumbe Makundi ndo BM aisee nilikuwa sijui..
Ukisha jua ikusaidie ninj? Aiseee Group lisha poteza maana, badala ya kudiscus Idea tunaanza kudscus watu
Biashara za ushirikina lazima zianguke.
Watu mna akili finyu sanaBiashara za kichawi hizo
Umenikumbusha huyu wa karibu na Lugalo dereva wake mmoja akijulikana Michael (RIP) na wa kule Frelimo mwanae nilisoma nae.Kwacha ilitufaa sana baada ya kuondokana na Railway
Hawa tanganyika bus walihamishia biashara zao kwenye mahotelNami wa kanda ya ziwa nauliza hawa wa ma bus ya Tanganyika bus Na trans afrikan?
Yap! Hao ni vijana wake wawili Mmoja anaitwa Balthazar mwingine nimemsahau ila anaanza na B, M ni Makundi
Kwani TISS hawapo BRELA, LATRA, TRA, POLICE?Wengine wamebadilisha majina kukwepa kufilisiwa na awamu hii
Kwa maelezo haya wewe ni mtu wa ndaniHawa tanganyika bus walihamishia biashara zao kwenye mahotel
HOTEL TILAPIA mwanza
KIJELESHI TENTED CAMP ramadi serengeti
MBALAGETI SAFARI CAMP serengeti
CHAMUGASA HOTEL ramadi
Na bado wanasafirisha watalii kuwapeleka mbugani
Hapana mkuu ila niliwahi Kuwa fundi hapo mwaka 99 mpaka 2011!Kwa maelezo haya wewe ni mtu wa ndani
Mamba safari, kitu rangi ya njano Arusha to MwanzaKwa sisi wazee wa zamani tunakumbuka sana Mabus haya...
1. Fresh ya Shamba
2. Safina
3. Kwacha
4. Zainabu
5. Kiswele
6. Matema
7. Masia
8. Tawaqal
Hawa walikuwa wakongwe wa barabara za nyanda ya juu kusini. Miaka hiyo ya nyuma. Nini kilitokea mpaka wakafirisika na kupotea katika ramani ya dunia?
Nakumbuka magari ya Kiswele yalikuwa yanaozea hapo Mabibo External. Sijui yakaenda wapi tena.
Je matajiri wa sasa wa Mabus kuna kitu wamejifunza toka kwa wakongwe hawa? Anyway...mi nashauri kwa siku moja katika mwaka bus zinazoenda njia hiyo zisimame mikumi kwa dk 3 kama kumbukumbu kwa malejendari hawa wa usafiri wa miaka hiyo