Wakuu,
Kama kuna anaejue ni nini hasa kilisababisha ugomvi kati ya hawa wazee wafuatao vs. Mwalimu Nyerere naomba atujulishe kwa historia fupi - kwa yoyote uijuayo. Na mwisho wa siku matokeo yalikuwa ni nini? nani alikuwa na haki na yupi alikuwa mkosaji?
Kasela Bantu
Christifer Kasanga Tumbo
Tuntemeke Sanga
Eli Anangisye
Lifa Chipaka
Wilfrem Mwakitwange
Mtemvu
Michael Kamaliza
Kama kuna anaejue ni nini hasa kilisababisha ugomvi kati ya hawa wazee wafuatao vs. Mwalimu Nyerere naomba atujulishe kwa historia fupi - kwa yoyote uijuayo. Na mwisho wa siku matokeo yalikuwa ni nini? nani alikuwa na haki na yupi alikuwa mkosaji?
Kasela Bantu
Christifer Kasanga Tumbo
Tuntemeke Sanga
Eli Anangisye
Lifa Chipaka
Wilfrem Mwakitwange
Mtemvu
Michael Kamaliza