Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
- Thread starter
- #21
Mh mbona ata mie nshawahi kusikia kua Mombasa ni sehemu ya TANZANIA yakweli haya km inavyosemekana ziwa lote la NYASA ni mali ya malawi ata kuna mgogoro ulitaka kujadiliwa bungeni kua MALAWI wanataka kuchimba mafuta ktk ziwa bila knowlede ya TZ....pliz wanaofahamu watufahamishe
wenyewe watujuze,kumbe mambo ni mengi sana.