Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 4,429
- 3,637
Umechanganya matukio mawili tofauti.
Utekaji wa ndege umetokea mara mbili hapa nchini.
funguka basi...
Umechanganya matukio mawili tofauti.
Utekaji wa ndege umetokea mara mbili hapa nchini.
baada ya kukamatwa wakaanza kuyamenya maembe yao na visu vyao waanza kuyala
funguka basi...
Mbona hii story niliwasikia clouds fm hawa jamaa na kama sikosei walisema walitua Arusha wakajua washaa fika!
Umechanganya matukio mawili tofauti.
Utekaji wa ndege umetokea mara mbili hapa nchini.
yaani baada ya kukamatwa wakaanza kuyamenya maembe yao na visu vyao waanza kuyala
Mkuu unajitafutia BAN ya kufungua mwaka, ngoja nikusamehe kwa leo kwa ku-edit post yako, rekebisha lugha!
kumbe serikali ya ccm ilianza zamani kutowatengenezea vijana sera na miongozo ya maisha boramimi kwa jinsi nilivyo wasikiliza, shida yao kubwa ilikuwa ni kwenda ulaya kwa sababu ya ugumu wa maisha. Tatizo lao ni kutokujua mambo ya ndege matokeo yake rubani akafanya kazi ya kuwazungusha hewani tu. Baada ya hapo waliambiwa kuwa wanatua Adi Ababa ili wajaze mafuta kumbe wanatua Dar. Taa za uwanja zilizimwa na wakadakwa mmoja baada ya mwingine
kumbe serikali ya ccm ilianza zamani kutowatengenezea vijana sera na miongozo ya maisha bora
Miaka hiyo CDM wangekuwepo, wangeshasema ni vijana wa M4C hao ili nchi sitawalike
UNAWEZA kuteka ndege bila silaha,ndege ikishakuwa airborne you just have to instill fear by eg claiming there is a bomb on board-hawa watekaji naona wali panic cause hata kama ndege ilitua DAR wange threaten kuua abiria and serikali ingelazimishwa kuiachia iondokekhaaaaaa maembe dodo?
ndio, viwanja vina usalama wa kutosha na teknolojia ya hali ya juu ndio maana makachero waliokuwa uwanjani walipata taarifa kwamba ndege imetekwa na inarudi Dar na wakajiandaa na kuwatuliza watekaji bila tukio, na ma pilot nao walikuwa very well trained kiasi cha kumfanya mtu ajisikie kwamba safari ya masaa manane inakuwa supplanted na safari ya dakika 45 (arusha Dar) bila watekaji kushtukia!viwanja vyetu vya ndege vinausalama wakutosha?
All Zanzibaris are still ...They were fools.
Yericko kama kawaida yake anachanganya madawa.
Anachanganya hijacking ya kina Kisoda na ya kina Membe.
Linatajwa kuwa moja ya majaribio yenye kustua vyombo vya dola vya nchi hii na linafananishwa na tukio la mnamo February 27, 1982 mjini Jidda lililoongozwa na Mousa Memba aliyekuja kufariki mwaka 1992 akiwa jela hapa Dar es Salaam
Japokuwa hadithi hubadilika badilika kila mtu akikusimulia, lakini kisa kinaelezwa hivi:
Vijana wanne wakizanzibar
waliovamia safari ya ndege ya Tz kutoka Zanzibar kuelekea Arusha, waliamua kuiteka ndege hiyo kabla ya kutua Arusha na kumwamuru rubani wa ndege hiyo awapeleke Ulaya,
Kutokana na kipigo, rubani alikubali na kuanza safari ya Ulaya,
Kinyume chake rubani aliwaleta Dar, akawaambia wapo nchi ya Ulaya huko na mafuta wameishiwa hivyo anatua ili wajaze mafuta,
Baada ya ndege kutua uwanja wa ndege Dar ulikuwa tayari upo chini ya ulinzi mkali, na wale vijana walikamatwa kama kuku kwani hawakuwa na silaha yoyote zaidi ya kisu, maembe dodo ambayo waliyatumia kama mambomu na bastola za bandia
Kiasi kwamba vijana walifanikiwa kuwatisha abiria wote nao wakaamini kuwa vijana wale walikuwa na mabomu na bastola kumbe matoi tu!
Japokuwa propaganda za kimagharibi zilibadili malengo ya watekaji ya kutaka kupelekwa Ulaya, sasa wao leo wanasema kuwa vijana waliiteka ndege ile ya Tz kwa lengo la kutaka Mwalimu Nyerere ajiuzuru wadhifa wake:
Hili linarudisha fikra zetu tujiulize kuwa viwanja vyetu vya ndege vinausalama wakutosha?
Hao watekaji walishindwa hata kuchungulia madirishani kuona wako wapi?
They were fools.