Upepo wa kisulisuliJPM alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Kwa matusi anayotukana wananchi akiwa kwenye majukwaa nadhani si vizuri. Labda awe anawafanyia wanaume wa Kinondoni tu, huko mikoani hawawezi kuvumilia. Lazima wa retaliateHiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Amani upendo umoja haki na usawa.........Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
a mysteryMoshi ulitokea wapi?