May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Achana na neno "KUASISI"Nguruvi...
Tatizo liko wapi wewe si amini kuwa TANU iliasisiwa na Nyerere 1954?
Mimi sikasirishwi na hilo vipi wewe una hamaki mimi nikisema historia ya TANU inanaanza mwaka wa1929?
"Nyerere alikuwa Pugu akisomesha na alipelekwa na Joseph Kasella Bantu nyumbani kwa Abdu Sykes.
Mwalimu alipoacha kazi ndiyo akahamia Dar es Salaan"
Hivi Pugu sio Dar es Salam?
Kwa maelezo ya Mzee Waikela (aliyekuwepo wakati huo) Mwalimu alishakuwepo Dar Es Salaama na alishaanza shughuli za kukutana na wengine na kupanga harakati akiwa bado anafundisha.
Kwa maelezo ya Waikela (aliyekuwepo wakati huo) mwaka 1954 hawakuwa na hiyo habari za kuasisiwa kwa chama chochote, bali walijua ya kwamba TAA ikabadilishwa kuwa TANU.
Mzee Said bado hujaweza kuthibitisha bila shaka kile unachojitahidi kulezea.