Nini kilikusaidia kupata kazi?

Kwangu mie ilikuwa ni kama bahati tu kupata kazi (kuajiriwa). Sijawahi kufanyiwa serious interveiw na wala sikuwa na connection yeyote hapo awali. Nilienda hospitali kwa ajili ya matibabu (ilikuwa 1994), na hapo nikakutana na Professor mmoja akaniuliza ninasomea nini (nilikuwa mwaka wa pili chuo then). Nikamwelezea ninachosoma na akasema ana research projects zake kama niko interested kumsaidia kazi. Nilianza kazi huku bado nikiwa chuo. Since then bahati za kupata masomo ya ziada na kazi zaidi zilifuata. Namshukuru Allah kwa kunifanyia wepesi kwenye haya. Najua wengi wamehangaika kupata kazi na kuna ambao bado wanahangaika kupata kazi. Mungu awajalie waweze kufanikiwa katika ndoto zao.
 
Kwangu mie ilikuwa ni kama bahati tu kupata kazi (kuajiriwa). Sijawahi kufanyiwa serious interveiw na wala sikuwa na connection yeyote hapo awali. Nilienda hospitali kwa ajili ya matibabu (ilikuwa 1994), na hapo nikakutana na Professor mmoja akaniuliza ninasomea nini (nilikuwa mwaka wa pili chuo then). Nikamwelezea ninachosoma na akasema ana research projects zake kama niko interested kumsaidia kazi. Nilianza kazi huku bado nikiwa chuo. Since then bahati za kupata masomo ya ziada na kazi zaidi zilifuata. Namshukuru Allah kwa kunifanyia wepesi kwenye haya. Najua wengi wamehangaika kupata kazi na kuna ambao bado wanahangaika kupata kazi. Mungu awajalie waweze kufanikiwa katika ndoto zao.
Amina....Mungu ni mwema
 
MUNGU ni mwema
Baada ya kumaliza chuo July 2016 nilijiapiza kwamba nisingerudi mkoani hadi nitoboe lakini nilijiwekea ukomo wa miezi nane tu kama ningechemka kupata upenyo basi ningehamishia mashambulizi mkoani hivyo nililipia kodi miezi sita kwani miwili ilikuwa ndani ya mkataba.

Hustle zikaanza rasmi nikawa nimejiwekea utaratibu wa kusambaza CV tatu kila siku ila approach yangu haikuwa kuacha reception, kabla ya kwenda kampuni husika nilikuwa nasoma Company profile ili kujua viongozi wakubwa kama Operation manager,HR manager au hata Mkurugenzi hivyo nikifika hapo namwambia secretary nimekuja kumuona mtu fulani nina shida ya kiofisi hii mbinu sio rahisi kama huna confidence na haifanyi kazi sehemu zote kwani kuna wakubwa kutokana na majukumu yao hawapendi kuonana na mtu ambate hakuwa na appointment nae, binafsi ilinisaidia sana kwenye kujenga kujiamini kwani niliweza kukutana na watu wakubwa physically na kuongea nao japo waliishia kuniambia CV niache kwa HR hivyo sikuwahi kuitwa popote kwa ajili ya interview ama ajira.

Kuna muda sikuwa na nauli basi jua likawa langu na mvua pia ilikuwa kawaida kutoka mtongani hadi posta kwa mguu yani mvua ikinyesha bahasha inachanika mara CV zimeloa inabidi shughuli siku hiyo iishie hapo.

2.Connection
Siku moja nikiwa kwenye daladala naelekea mikocheni nilipigiwa simu na kaka yangu akaniambia nimtumie CV yangu haraka sana nikamuomba kondakta anishushe ilala nikaingia internate cafe chap nikafanikisha, nauli ikawa imekata ikabidi nirudi getto kwa mguu, aisee ndugu usiniulize nilkuwa nakula nini kama tu nauli ilikuwa inanishinda mimi nilikuwa naloweka mchele nakula nalala nisingeweza kupika sina gesi wala mkaa ila MUNGU ni mwema yamepita japo yanaweza kujirudia so ni suala la kuendelea kuwa mwaminifu kwa MUNGU.

December 1,2016 nikiwa getto nimejilaza natafakari nilipokea Call kutoka Benk fulani wakinialika kwenye interview ila natakiwa nikafanyie mkoani aisee ilikuwa jumatatu na natakiwa jumatano niwe huko nilipagawa basi nikamjulisha bro akaniambia poa ntakuchangia nauli uende nilimshukuru sana, nilijiandaa vizuri mno nilifika eneo la tukio tulikuwa watu kumi na tano na walitakiwa watu wanne tu mm ndiye niliyekuwa mtu wa kwanza aisee nilipiga interview kwa hasira hadi Manager akaacha kuandika marks akaanzisha mjadala kwa kiswahili finally akasema nahitaji kufanya kazi na wewe tuka shake hands nikaondoka kesho asubuhi nikapigiwa simu kuwa nimepata kazi natakiwa nipeleke nyaraka zote ikiwemo vyeti, picha nk ilikuwa ni kazi ya uwakala wa mauzo (sales agent) na walikuwa wanahitaji watu wa diploma tu ila naambiwa wengi walikataa coz ni kazi ngumu na haina maslahi kiivyo,,,,nilijisemea nitafanya kazi hii kwa nguvu zangu zote ndani ya mwaka mmoja sitakuwa hapa tena.

Recruitment process ilichukua muda kidogo tuliitwa kuanza kazi mwezi wa kwanza 2017, aisee nilikuwa napambana sana na strategy zangu zilikuwa poa sana basi baada ya miezi miwili kukatokea shortage ya mfanyakazi mmoja ambaye alikuwa anaenda maternity basi wakatangaza fixed term opportunity wengi tulifanya application pamoja na wengine tuliowakuta pale baada ya interview namshukuru MUNGU pia nikatoboa wakaniambia nitafanya for six months akirudi mwente nafasi yake kutakuwa na mawili aidha kurudi kwenye nafasi yangu ya awali ama kama kutakuwa na chance nyingine watanipa nikakubali na nikajiapiza kuwa ndani ya hii miezi sita ntafanya kazi ambapo wao watahangaika kufikiria wanipeleke wapi,,,,,yule Dada alirudi nikapigiwa Simu na HR kuwa rasmi wananipa permanent contract na natakiwa kwenda kureport mwanza ndiko kitakuwa kituo changu cha kazi kama bank teller, safari yangu rasmi ikaanzia hapo namshukuru sana Kaka yangu na yule Manager kwa kuniamini kwani MUNGU amekuwa mwema napanda vyeo kila mwaka na mm nimekuwa mibaraka kwa vijana wengine kuwapatia nafasi ndani na hata nje ya taasisi. Wazungu wanasema "Success is where lucky meets good preparation" niamini mimi connection haitafanya kazi kama ww mwenyewe binafsi hautakuwa na maandalizi mazuri kuchukua fursa zitakazo kuwa mbele yako.

Kikubwa zaidi muombe sana MUNGU bila kuchoka, weka juhudi kubwa pale unapopewa nafasi ndogo, kuwa mtu mwenye nidhamu ya hali ya juu na heshima inalipa sana.
Lesson nzuri sana hii brethren.
 
MUNGU ni mwema
Baada ya kumaliza chuo July 2016 nilijiapiza kwamba nisingerudi mkoani hadi nitoboe lakini nilijiwekea ukomo wa miezi nane tu kama ningechemka kupata upenyo basi ningehamishia mashambulizi mkoani hivyo nililipia kodi miezi sita kwani miwili ilikuwa ndani ya mkataba.

Hustle zikaanza rasmi nikawa nimejiwekea utaratibu wa kusambaza CV tatu kila siku ila approach yangu haikuwa kuacha reception, kabla ya kwenda kampuni husika nilikuwa nasoma Company profile ili kujua viongozi wakubwa kama Operation manager,HR manager au hata Mkurugenzi hivyo nikifika hapo namwambia secretary nimekuja kumuona mtu fulani nina shida ya kiofisi hii mbinu sio rahisi kama huna confidence na haifanyi kazi sehemu zote kwani kuna wakubwa kutokana na majukumu yao hawapendi kuonana na mtu ambate hakuwa na appointment nae, binafsi ilinisaidia sana kwenye kujenga kujiamini kwani niliweza kukutana na watu wakubwa physically na kuongea nao japo waliishia kuniambia CV niache kwa HR hivyo sikuwahi kuitwa popote kwa ajili ya interview ama ajira.

Kuna muda sikuwa na nauli basi jua likawa langu na mvua pia ilikuwa kawaida kutoka mtongani hadi posta kwa mguu yani mvua ikinyesha bahasha inachanika mara CV zimeloa inabidi shughuli siku hiyo iishie hapo.

2.Connection
Siku moja nikiwa kwenye daladala naelekea mikocheni nilipigiwa simu na kaka yangu akaniambia nimtumie CV yangu haraka sana nikamuomba kondakta anishushe ilala nikaingia internate cafe chap nikafanikisha, nauli ikawa imekata ikabidi nirudi getto kwa mguu, aisee ndugu usiniulize nilkuwa nakula nini kama tu nauli ilikuwa inanishinda mimi nilikuwa naloweka mchele nakula nalala nisingeweza kupika sina gesi wala mkaa ila MUNGU ni mwema yamepita japo yanaweza kujirudia so ni suala la kuendelea kuwa mwaminifu kwa MUNGU.

December 1,2016 nikiwa getto nimejilaza natafakari nilipokea Call kutoka Benk fulani wakinialika kwenye interview ila natakiwa nikafanyie mkoani aisee ilikuwa jumatatu na natakiwa jumatano niwe huko nilipagawa basi nikamjulisha bro akaniambia poa ntakuchangia nauli uende nilimshukuru sana, nilijiandaa vizuri mno nilifika eneo la tukio tulikuwa watu kumi na tano na walitakiwa watu wanne tu mm ndiye niliyekuwa mtu wa kwanza aisee nilipiga interview kwa hasira hadi Manager akaacha kuandika marks akaanzisha mjadala kwa kiswahili finally akasema nahitaji kufanya kazi na wewe tuka shake hands nikaondoka kesho asubuhi nikapigiwa simu kuwa nimepata kazi natakiwa nipeleke nyaraka zote ikiwemo vyeti, picha nk ilikuwa ni kazi ya uwakala wa mauzo (sales agent) na walikuwa wanahitaji watu wa diploma tu ila naambiwa wengi walikataa coz ni kazi ngumu na haina maslahi kiivyo,,,,nilijisemea nitafanya kazi hii kwa nguvu zangu zote ndani ya mwaka mmoja sitakuwa hapa tena.

Recruitment process ilichukua muda kidogo tuliitwa kuanza kazi mwezi wa kwanza 2017, aisee nilikuwa napambana sana na strategy zangu zilikuwa poa sana basi baada ya miezi miwili kukatokea shortage ya mfanyakazi mmoja ambaye alikuwa anaenda maternity basi wakatangaza fixed term opportunity wengi tulifanya application pamoja na wengine tuliowakuta pale baada ya interview namshukuru MUNGU pia nikatoboa wakaniambia nitafanya for six months akirudi mwente nafasi yake kutakuwa na mawili aidha kurudi kwenye nafasi yangu ya awali ama kama kutakuwa na chance nyingine watanipa nikakubali na nikajiapiza kuwa ndani ya hii miezi sita ntafanya kazi ambapo wao watahangaika kufikiria wanipeleke wapi,,,,,yule Dada alirudi nikapigiwa Simu na HR kuwa rasmi wananipa permanent contract na natakiwa kwenda kureport mwanza ndiko kitakuwa kituo changu cha kazi kama bank teller, safari yangu rasmi ikaanzia hapo namshukuru sana Kaka yangu na yule Manager kwa kuniamini kwani MUNGU amekuwa mwema napanda vyeo kila mwaka na mm nimekuwa mibaraka kwa vijana wengine kuwapatia nafasi ndani na hata nje ya taasisi. Wazungu wanasema "Success is where lucky meets good preparation" niamini mimi connection haitafanya kazi kama ww mwenyewe binafsi hautakuwa na maandalizi mazuri kuchukua fursa zitakazo kuwa mbele yako.

Kikubwa zaidi muombe sana MUNGU bila kuchoka, weka juhudi kubwa pale unapopewa nafasi ndogo, kuwa mtu mwenye nidhamu ya hali ya juu na heshima inalipa sana.

amazing grace
 
Nilimtanguliza Mungu kumwamini na kumtegemea kwa asilimia zote kuanzia mwanzo wa mchakato mpaka mwisho na maandalizi yangu yalikuwa ni mazuri kwa maana ya kusoma na kufanya mazoezi ya vitendo(Practical) ,saasa nimefanikiwa kupata kazi nzuri kuliko nilivyokuwa nafikiria, ni Mungu tu wa kumtanguliza na kumwamini na kumtegemea kwa asilimia zote,ukweli kwa kwa akili yangu mwenyewe nisingeweza sababu ushindani ni mkubwa sana. MTANGULIZE MUNGU MBELE, KATIKA MAMBO YAKO YOTE UTASHINDA....BARIKIWA
 
Kupitia jamii forum.. Japokuwa huyo mtu aliyenipa kazi mpka leo cmjui...

Ila ukweli mm ni miongon mwa watu waliofaidika na jamii forum

Niliandika uzi wa kutafuta kazi.. Baadhi ya watu wakaniambia niwatumie CV.. Kweli nikatuma..

Baada ya siku 3 nikaitwa kwa interview na nikapita....
Yaani scenario yako inanifanya nizidi kuipenda jamii forum , maana hii ni nyumba ambayo watu wanaishi humu hawajuani si sura tu ila hata majina lakini utu ni tunu yao .
 
Kupitia jamii forum.. Japokuwa huyo mtu aliyenipa kazi mpka leo cmjui...

Ila ukweli mm ni miongon mwa watu waliofaidika na jamii forum

Niliandika uzi wa kutafuta kazi.. Baadhi ya watu wakaniambia niwatumie CV.. Kweli nikatuma..

Baada ya siku 3 nikaitwa kwa interview na nikapita....
Hongera
 
Uzi mzuri hasa unatuhusu sisi tuliopo vyuoni, ninasoma diploma in procurement and logistics management semester ya mwisho ( mwezi wa sita off). Kiukweli sielewi wapi pa kuanzia, Ila kupitia comment za wadau mbalimbali nimepata mwanga kidogo. Pia Kama kuna yoyote mwenye ramani anisaidie nipo tayari.
 
Uzi mzuri hasa unatuhusu sisi tuliopo vyuoni, ninasoma diploma in procurement and logistics management semester ya mwisho ( mwezi wa sita off). Kiukweli sielewi wapi pa kuanzia, Ila kupitia comment za wadau mbalimbali nimepata mwanga kidogo. Pia Kama kuna yoyote mwenye ramani anisaidie nipo tayari.
Karibu kitaa kiongozi
 
Nilitaka niandike Uzi kuhusu Maswala ya Ajira etc..

Mie ni kijana bdo.

Wakat nasoma nilitamani kuajiriwa nikiwa BADO nikiwa nasoma Chuo.
Nilikosa kazi.. kwa miaka miwili mwaka wa pili ilikuw ni semester ya mwisho lazima Tufanye FIELD.

Nikaitumia hiyo FURSA.. kujijengea JINA, CONNECTION na UAMINIFU. ktk Taasisi nyeti niliyoenda kufanya Field.

Sikufichi.. wenzangu niliosoma nao Asilimia 70% walienda kufanya Field ilimradi wakamilishe Field report yao basi.. ila hawakuwaza mbele..

Mie nilitarget sehem ambay itaniwezesha kubaki kuendelea kufanya kazi.. na nikajituma kias kwamba siku nakamilisha Field yangu.. OFISI/IDARA nzima inasikitika.. wanatamani nibaki.

Inshort.

Fursa namba moja ukitaka uajiriwe.. ITUMIE FIELD vzr... Piga KAZI kweli kweli.

Pili.. Usiwe MTu wa kuwaza HELA.. yaan unataka ULIPWE ukishagundulika hivy wakat wa Field.. imekula kwako.

Tatu.. SOFT SKILLS.. ukiachia hizo skills kitu kingine cha muhimu UJUZI ulio nje ya kile unavhofanyia field.

Mfano. mimi wakat nafany Field kina baadhi ya wafanyakazi walidhani mimi ni IT wa IDARA.. kumbe siyo Profession yangu... Bali nilitumia vzr skills zangu za IT na kutatua changamoto mbalimbali.. kitu ambacho kilinipa Credit sana..

Kuwa mtulivu.. smart.. na mnyenyekevu.

After kumaliza Field KWA Kuwa MABOSS nishawafanya marafiki na wameona Utendaji kazi wangu.. after one week nikavutiwa WAYA... nikaripot SOMEWHERE.. ndipo nipo kwa SASA natumikia TAIFA.
Well done, umetisha sana
 
Kuna wakati unaweza kudhani kuna vigezo mahsusi vya mtu kupata kazi, ila unajiuliza mbona wengi wana hivyo vigezo lakini hawana kazi? Unakubaliana na uwepo wa "bahati" kwa kila mtu, lakini ikiwa utaamini hivyo basi jua kuwa bahati haibahatishwi, unahitajika uitafute.
 
Back
Top Bottom