Nini kilijiri mpaka Said Salim Bakhressa akamwagiwa shehena ya Unga wake?

Mbona mnawasema Sana wafadhili wa vilabu watakasirika Halafu soma lenu libume!
 
Umetumwa......!!
Wewe umetoa wapi hizo habari?
na kwa nini usingeuliza maswali yote haya hukohuko kwa huyo mtoa taarifa wako?
.
.
Hututakii mema wewe!
Kwani lazima ujibu kila comment??
 
Naskia miaka ya nyuma, Mfanyabiashara Said Salim Bakhressa (SSB), aliwahi kumwagiwa shehena yake ya Unga na Serikali baada ya kuingiza mzigo huo toka nje ya nchi. Sababu kuu ikidaiwa kuwa unga huo upo chini ya viwango.

Lakini SSB hakuridhika akaamua kufungua kesi mahakamani dhidi ya Serikali na kushinda kesi hiyo.

Je ni kweli lile jengo la pale karibu na Tazara mkabala na Mfugale bridge alipewa kama fidia na serikali?

Je kama ni kweli, nini hasa kilisababisha hadi SSB amwagiwe mzigo wake tena chini ulinzi mkali wa jeshi?
jifunze kuwa tofautisha biashara na vyama siasa.hapo utaishi kwa rahaa
 
Ali support CUF zenji... Tangia kipindi hicho hadi leo hajawahi kujihusisha na mambo ya siasa hadharani, na kula Azam Stadium naskia lile eneo alipewa na serikali....
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom