Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Jamaa moja alikuwa na mazoea ya kwenda kuogelea kwenye kisima kimoja kikubwa kilichotengenzwa kwa sakafu kila upande.Kwa kawaida yake akifika mita 30 kutoka kisamani anakimbia kwa nguvu na kurukia kwenye kisima kwa nguvu na kuanza kuogelea,siku moja kama kawaida yake alipofika karibu na mita 30 akaanza kukimbia bila kusoma bango iliyoandikwa ''kisima inafanyiwa matengenezo tumeondoa maji'' halafu akaruka kwa nguvu kwenye kisima,,,,,,,,, teh teh teh mi sijui kilichotokea.