Nini kilichotokea kwenye hii mechi ya man u vs Spur 4/2/2017

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
Kwa bahati sikuweza kuangalia hii mechi Kipindi hicho lakini juzi kupitia Man u tv niliona hii game kwenye dakika ya 70 na kuendelea kipa wa man akaumia na ikabdi John oshea akae golini!

Je sub ziliisha ama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom