mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Kwa ajili ya kuboresha utendaji wa bunge na kuifanya Serikali iwajibike ipasavyo kwa wananchi wake Bunge liliamua liwe na kamati mbali mbali ambazo zitakuwa zikifuatilia mambo mbalimbali ya msingi mathalani utendaji wa mashirika ya UMMA, mambo ya Ardhi, Elimu, Kilimo, Mambo ya nizamu, Ulinzi na Usalama, Mambo Ya fedha na nyinginezo nyingi.
Kamati hizi hupaswa kuwa na watu makini na wenye uzalendo na uchungu wa nchi yao.
Sasa swali linalo nitatiza mimi ni hili:::Je ni kigezo gani huwa kinatumika kuchagua viongozi wa kamati hizi?
Na kama kigezo ni hicho hapo juu kinazingaziwa je unazani kamati zote zina viongozi wanaostahiki au Kuna ambazo unamashaka nazo kama Mtanzania Mzalendo na mpenda maendeleo?
Tujuzane
Kamati hizi hupaswa kuwa na watu makini na wenye uzalendo na uchungu wa nchi yao.
Sasa swali linalo nitatiza mimi ni hili:::Je ni kigezo gani huwa kinatumika kuchagua viongozi wa kamati hizi?
Na kama kigezo ni hicho hapo juu kinazingaziwa je unazani kamati zote zina viongozi wanaostahiki au Kuna ambazo unamashaka nazo kama Mtanzania Mzalendo na mpenda maendeleo?
Tujuzane