Nini kifanyike kuwalinda wanafunzi na maambukizi ya Corona baada ya kauli ya Rais Magufuli?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
1. Baada ya shule na vyuo kufungwa wanafunzi walitawanyika kila Kona ya nchi, tukifungua lazima wanafunzi pia watoke kila Kona kurejea mashuleni.

2. Kama tukakubaliana kwenye hoja ya kwanza Basi, wanaporejea mashuleni na vyuoni wafanyiwe vipimo kujua Nani ana maambukizi Nani Hana.

3.Kufungua vyuo na shule Ni hoja nzuri ila kuwalinda wanafunzi na maambukizi ni Jambo kubwa zaidi.
Moja ya factor iliyochangia itali kupata vifo vingi ni mfumo wa maisha, watu wengi walikuwa wanaishi hostel hasa wazee waliostaafu kuhudumu katika dini....na sisi kwetu tutambue wanafunzi wetu kuweka umbali Kati ya mmoja na mwingine hatuwezi kwa maana miundombinu yetu haitoshi.

Tutambue vyuo na shule hazina facility za kujifukiza wala madawa, lakini pia wanafunzi wanaathirika zaidi kisaikologia pale wanapobaini yupo chumba kimoja na mgonjwa. Tuwajenge kisaikologia.

Mwisho, tunalojukumu lakulinda uhai wa watu wetu, mtu akifariki hawezi kurudi Tena na ndio maana hata watoto wa viongozi hawataruhusiwa kurejea shule kwa mtindo wa watoto wa wakukulima.

Wanasoma mazingira ambayo nimazuri na yanavitendea kazi vizuri, wanapata huduma nzuri na wanalindwa wasiambukizwe.

TUWALINDE WATOTO WA WAKULIMA AU TUWACHANGANYE WATOTO WETU VIGOGO NA WATOTO WA WAKULIMA KUWAJENGEA IMANI KWAMBA WOTE TUPO SAWA MBELE YA CORONA.
 
1. Baada ya shule na vyuo kufungwa wanafunzi walitawanyika kila Kona ya nchi, tukifungua lazima wanafunzi pia watoke kila Kona kurejea mashuleni.

2. Kama tukakubaliana kwenye hoja ya kwanza Basi, wanaporejea mashuleni na vyuoni wafanyiwe vipimo kujua Nani ana maambukizi Nani Hana.

3.Kufungua vyuo na shule Ni hoja nzuri ila kuwalinda wanafunzi na maambukizi ni Jambo kubwa zaidi.
Moja ya factor iliyochangia itali kupata vifo vingi ni mfumo wa maisha, watu wengi walikuwa wanaishi hostel hasa wazee waliostaafu kuhudumu katika dini....na sisi kwetu tutambue wanafunzi wetu kuweka umbali Kati ya mmoja na mwingine hatuwezi kwa maana miundombinu yetu haitoshi.

Tutambue vyuo na shule hazina facility za kujifukiza wala madawa, lakini pia wanafunzi wanaathirika zaidi kisaikologia pale wanapobaini yupo chumba kimoja na mgonjwa. Tuwajenge kisaikologia.

Mwisho, tunalojukumu lakulinda uhai wa watu wetu, mtu akifariki hawezi kurudi Tena na ndio maana hata watoto wa viongozi hawataruhusiwa kurejea shule kwa mtindo wa watoto wa wakukulima.

Wanasoma mazingira ambayo nimazuri na yanavitendea kazi vizuri, wanapata huduma nzuri na wanalindwa wasiambukizwe.

TUWALINDE WATOTO WA WAKULIMA AU TUWACHANGANYE WATOTO WETU VIGOGO NA WATOTO WA WAKULIMA KUWAJENGEA IMANI KWAMBA WOTE TUPO SAWA MBELE YA CORONA.
Inanifikirisha sana hili la kuwarudisha watoto wetu shule na vyuoni pasipo takwimu za kutuongoza kufanya maamuzi. Hatuna la kufanya kwa huyo mfanya maamuzi inabidi tusugue magoti ili Mungu atutetee na watoto wetu.

Watoto wetu hawa kama kuku wa kisasa sielewi kama wataweza kufuata maelekezo yoyote ya walau kuwapunguzia maambukizi.
 
Hili la kufungua vyuo na ligi kuendelea niiitabiri muda mfuipi kabla ya hotuba yake kwakuwa najua yeye anatafuta kura kwa kufanya maamuzi yatayofurahisha wananchi hata kama kutakuwa na madhara.

Hata hiyo hela anayotoa hapo kanisani malengo ni hayo hayo likiwemo la kujiweka karibu na viongozi wa dini na waumini na ndio maana hata ibada hakuta kuzuia.

Viongozi makini hawafanyi maamuzi ili kupata kura bali kwa kulinda raia wao hata kwa gharama ya nafasi zao kisiasa jambo ambalo Magu hana.
 
1. Baada ya shule na vyuo kufungwa wanafunzi walitawanyika kila Kona ya nchi, tukifungua lazima wanafunzi pia watoke kila Kona kurejea mashuleni.

2. Kama tukakubaliana kwenye hoja ya kwanza Basi, wanaporejea mashuleni na vyuoni wafanyiwe vipimo kujua Nani ana maambukizi Nani Hana.

3.Kufungua vyuo na shule Ni hoja nzuri ila kuwalinda wanafunzi na maambukizi ni Jambo kubwa zaidi.
Moja ya factor iliyochangia itali kupata vifo vingi ni mfumo wa maisha, watu wengi walikuwa wanaishi hostel hasa wazee waliostaafu kuhudumu katika dini....na sisi kwetu tutambue wanafunzi wetu kuweka umbali Kati ya mmoja na mwingine hatuwezi kwa maana miundombinu yetu haitoshi.

Tutambue vyuo na shule hazina facility za kujifukiza wala madawa, lakini pia wanafunzi wanaathirika zaidi kisaikologia pale wanapobaini yupo chumba kimoja na mgonjwa. Tuwajenge kisaikologia.

Mwisho, tunalojukumu lakulinda uhai wa watu wetu, mtu akifariki hawezi kurudi Tena na ndio maana hata watoto wa viongozi hawataruhusiwa kurejea shule kwa mtindo wa watoto wa wakukulima.

Wanasoma mazingira ambayo nimazuri na yanavitendea kazi vizuri, wanapata huduma nzuri na wanalindwa wasiambukizwe.

TUWALINDE WATOTO WA WAKULIMA AU TUWACHANGANYE WATOTO WETU VIGOGO NA WATOTO WA WAKULIMA KUWAJENGEA IMANI KWAMBA WOTE TUPO SAWA MBELE YA CORONA.
Watoto wangu ltabidi warudie mwaka watenda shule mwakani siyo sasa hivi,
Hali ikishakuwa salama.

Wazazi makini watafuata ushauri wangu
 
1. Baada ya shule na vyuo kufungwa wanafunzi walitawanyika kila Kona ya nchi, tukifungua lazima wanafunzi pia watoke kila Kona kurejea mashuleni.

2. Kama tukakubaliana kwenye hoja ya kwanza Basi, wanaporejea mashuleni na vyuoni wafanyiwe vipimo kujua Nani ana maambukizi Nani Hana.

3.Kufungua vyuo na shule Ni hoja nzuri ila kuwalinda wanafunzi na maambukizi ni Jambo kubwa zaidi.
Moja ya factor iliyochangia itali kupata vifo vingi ni mfumo wa maisha, watu wengi walikuwa wanaishi hostel hasa wazee waliostaafu kuhudumu katika dini....na sisi kwetu tutambue wanafunzi wetu kuweka umbali Kati ya mmoja na mwingine hatuwezi kwa maana miundombinu yetu haitoshi.

Tutambue vyuo na shule hazina facility za kujifukiza wala madawa, lakini pia wanafunzi wanaathirika zaidi kisaikologia pale wanapobaini yupo chumba kimoja na mgonjwa. Tuwajenge kisaikologia.

Mwisho, tunalojukumu lakulinda uhai wa watu wetu, mtu akifariki hawezi kurudi Tena na ndio maana hata watoto wa viongozi hawataruhusiwa kurejea shule kwa mtindo wa watoto wa wakukulima.

Wanasoma mazingira ambayo nimazuri na yanavitendea kazi vizuri, wanapata huduma nzuri na wanalindwa wasiambukizwe.

TUWALINDE WATOTO WA WAKULIMA AU TUWACHANGANYE WATOTO WETU VIGOGO NA WATOTO WA WAKULIMA KUWAJENGEA IMANI KWAMBA WOTE TUPO SAWA MBELE YA CORONA.
China wamekimbilia kufungua na wameshakiona tayari, maambukizi yamekuwa makubwa tena. Jamani tusicheze na corona tuwe makini na tuchukulie ugonjwa huu kisayansi na sio kisiasa.
 
Hili la kufungua vyuo na ligi kuendelea niiitabiri muda mfuipi kabla ya hotuba yake kwakuwa najua yeye anatafuta kura kwa kufanya maamuzi yatayofurahisha wananchi hata kama kutakuwa na madhara.

Viongozi makini hawafanyi maamuzi ili kupata kura bali kwa kulinda raia wao hata kwa gharama ya nafasi zao kisiasa jambo ambalo Magu hana.
Kura zipi mkuu? Magufuli kweli anampinzani kwa huu uchaguzi ujao?

Tuacheni kuzua taharuki kwa mambo yasiyokuwa na ukweli,matokeo yake mtaanza kudai kuwa mmeibiwa kura kumbe ni uzushi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kufungua vyuo na ligi kuendelea niiitabiri muda mfuipi kabla ya hotuba yake kwakuwa najua yeye anatafuta kura kwa kufanya maamuzi yatayofurahisha wananchi hata kama kutakuwa na madhara.

Viongozi makini hawafanyi maamuzi ili kupata kura bali kwa kulinda raia wao hata kwa gharama ya nafasi zao kisiasa jambo ambalo Magu hana.
Ulitabiri wapi wewe? Umeleta uzi wako dakika 20 badaa ya rais kutamka sasa unamdanganya nani umetabiri?
Haya tabiri basi chanzo cha virusi vya corona ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Baada ya shule na vyuo kufungwa wanafunzi walitawanyika kila Kona ya nchi, tukifungua lazima wanafunzi pia watoke kila Kona kurejea mashuleni.

2. Kama tukakubaliana kwenye hoja ya kwanza Basi, wanaporejea mashuleni na vyuoni wafanyiwe vipimo kujua Nani ana maambukizi Nani Hana.

3.Kufungua vyuo na shule Ni hoja nzuri ila kuwalinda wanafunzi na maambukizi ni Jambo kubwa zaidi.
Moja ya factor iliyochangia itali kupata vifo vingi ni mfumo wa maisha, watu wengi walikuwa wanaishi hostel hasa wazee waliostaafu kuhudumu katika dini....na sisi kwetu tutambue wanafunzi wetu kuweka umbali Kati ya mmoja na mwingine hatuwezi kwa maana miundombinu yetu haitoshi.

Tutambue vyuo na shule hazina facility za kujifukiza wala madawa, lakini pia wanafunzi wanaathirika zaidi kisaikologia pale wanapobaini yupo chumba kimoja na mgonjwa. Tuwajenge kisaikologia.

Mwisho, tunalojukumu lakulinda uhai wa watu wetu, mtu akifariki hawezi kurudi Tena na ndio maana hata watoto wa viongozi hawataruhusiwa kurejea shule kwa mtindo wa watoto wa wakukulima.

Wanasoma mazingira ambayo nimazuri na yanavitendea kazi vizuri, wanapata huduma nzuri na wanalindwa wasiambukizwe.

TUWALINDE WATOTO WA WAKULIMA AU TUWACHANGANYE WATOTO WETU VIGOGO NA WATOTO WA WAKULIMA KUWAJENGEA IMANI KWAMBA WOTE TUPO SAWA MBELE YA CORONA.
Waachwe tu
Atakayeupata ugonjwa aumwe
Atakayesalimika hongera yake
 
Back
Top Bottom