issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,137
huko kwenu wapo???????
UfyatuziKazi gani usiku huu?
Wa kwanza huyo. Mleta mada toa adhabu mmoja keshabainika.Duh! hii balaa mpka 'waifu' kanikasirikia kwa post hii.
Papuchi sijui kama utapewaDuh! hii balaa mpka 'waifu' kanikasirikia kwa post hii.
Mmmh sidhani kama kuna watakaokubali hii ishuKwa mfano cheti chake kiaonesha ana A saba angalau kumtafutia
maswali ambayo si magumu sana ambay mtu mwenye A kwenye
somo husika hawezi kubabaika sana (walimu wanajua zaidi mbinu hii)