Nini Kifanyike kuboresha Elimu ya Tanzania?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wakuu nimepitia kwenye Account ya Twitter ya Nikki Wa Pili ambaye ni Msanii wa kundi la Weusi.

Msanii huyu anasifika kuwa ni msomi ambaye kwa sasa ni mwanafunzi wa Udaktari wa Falsafa (PhD) katika chuo kikuu cha Dar es Salaam lakini Kumbe naye hajui Kuandika vizuri hata kiswahili kupitia Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii (Twitter) ameweza kuandika Ujumbe ambao hausomeki vizuri ukizingatia kuwa yeye ni kioo cha Jamii.

 
Duhh, msomi wetu hata kiswahili hawezi kuandika vizuri.
Sasa ununuzi wa ndege unafufuaje mashirika ya umma?
 
Duhh, msomi wetu hata kiswahili hawezi kuandika vizuri.
Sasa ununuzi wa ndege unafufuaje mashirika ya umma?
Mkuu Nikki wa Pili anapata exposure sana hata Clouds wanamtumia yeye ni kasomea sociology lakini anajifanya anaingia kwenye uchumi lakini anazingua anachanganya madesa.
 
Waanze kuboresha kutoka primary, waweke misingi mizuri ya kujua sheria, uzalendo, Kwa wenzetu mtoto akizaliwa wanakwambia sio wako kwasababu wanataka watoto wote wawaweke kwenye yuniform ambayo serikali inataka na sio mzazi.
Elimu ya nchi hii imeondoka na mkoloni alipoondoka watu wengi waliosoma kipindi cha ukoloni wana akili kuliko waliosoma baada ya kuondoka mkoloni. Sasa hivi hujuwi umlaumu nani kila mmoja anaona anavofanya yeye ni sawa, ukienda kwa askari anataka rushwa, daktari rushwa, mwalimu rushwa, muuza nyanya anataka rushwa anakupa bei 4 tofauti anaona na yeye ile aliyopanga haimtoshi. Msomi wa sasa hivi anasoma sio kulisaidia Taifa anasoma ili aweze kumiliki majumba na magari, angalia hapo tulipokosea kwa wenzetu hata umkute ni waziri anaweza akakwambia hana nyumba yake anachokiangalia ni Taifa sio yeye na familia yake.

Kiukweli waafrika tumeshindwa tuna Taifa la hatari sana ambalo halieleweki tumepoteza dira. nitoe tena zingatio ikibidi tuwaite waliotuzidi akili waje watupangie tu tuwalipe waondoke. vinginevo kuna bomu siku moja litalipuka
 
Waanze kuboresha kutoka primary, waweke misingi mizuri ya kujua sheria, uzalendo, Kwa wenzetu mtoto akizaliwa wanakwambia sio wako kwasababu wanataka watoto wote wawaweke kwenye yuniform ambayo serikali inataka na sio mzazi.
Elimu ya nchi hii imeondoka na mkoloni alipoondoka watu wengi waliosoma kipindi cha ukoloni wana akili kuliko waliosoma baada ya kuondoka mkoloni. Sasa hivi hujuwi umlaumu nani kila mmoja anaona anavofanya yeye ni sawa, ukienda kwa askari anataka rushwa, daktari rushwa, mwalimu rushwa, muuza nyanya anataka rushwa anakupa bei 4 tofauti anaona na yeye ile aliyopanga haimtoshi. Msomi wa sasa hivi anasoma sio kulisaidia Taifa anasoma ili aweze kumiliki majumba na magari, angalia hapo tulipokosea kwa wenzetu hata umkute ni waziri anaweza akakwambia hana nyumba yake anachokiangalia ni Taifa sio yeye na familia yake.

Kiukweli waafrika tumeshindwa tuna Taifa la hatari sana ambalo halieleweki tumepoteza dira. nitoe tena zingatio ikibidi tuwaite waliotuzidi akili waje watupangie tu tuwalipe waondoke. vinginevo kuna bomu siku moja litalipuka
Well said
 
Tuondokane na mtihani Wa multiple choice kwenye ngazi ya Chuo kikuu. Hii itasaidia wasomi wengi kuweza kujieleza.
 
Wakuu nimepitia kwenye Account ya Twitter ya Nikki Wa Pili ambaye ni Msanii wa kundi la Weusi.

Msanii huyu anasifika kuwa ni msomi ambaye kwa sasa ni mwanafunzi wa Udaktari wa Falsafa (PhD) katika chuo kikuu cha Dar es Salaam lakini Kumbe naye hajui Kuandika vizuri hata kiswahili kupitia Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii (Twitter) ameweza kuandika Ujumbe ambao hausomeki vizuri ukizingatia kuwa yeye ni kioo cha Jamii.



Niki wa pili hata digrii hana asomee wapi Phd? Yeye alikuwa akisoma pale UDSM UCC kwa Universoty of Dar es salaam Computing Centre kijikozi cha computer ndo akawa anasema anasoma UDSM! UDSM sio mchezo kaka, Phd yake ndio kabisaaaaaa
 
Tuondokane na mtihani Wa multiple choice kwenye ngazi ya Chuo kikuu. Hii itasaidia wasomi wengi kuweza kujieleza.
Hizo hizo multiple choice wapo wanaopata 2/10 na kila kipengele ktk mtihani kina lengo la upimaji. Huwezi jua mwalimu anataka kupima nini kwa wanafunzi wake.

Ya walimu waachie walimu.
 
Hizo hizo multiple choice wapo wanaopata 2/10 na kila kipengele ktk mtihani kina lengo la upimaji. Huwezi jua mwalimu anataka kupima nini kwa wanafunzi wake.

Ya walimu waachie walimu.
Multiple choice siyo saizi ya University. Katika ngazi kuu kama hiyo msomi anatakiwa ajidadavue kikwelikweli. For your information hata mhadhiri huwa anajifunza kitu kipya through reading students' works. Enzi hizo kulikuwa na Open book exams huko Engineering. It was really a tough experience. Lakini muhimu ullikuwa unaangaliwa kama mambo unayajua.
 
Niki wa pili hata digrii hana asomee wapi Phd? Yeye alikuwa akisoma pale UDSM UCC kwa Universoty of Dar es salaam Computing Centre kijikozi cha computer ndo akawa anasema anasoma UDSM! UDSM sio mchezo kaka, Phd yake ndio kabisaaaaaa
Hapana Nikki Wa Pili ni Mwanafunzi wa PhD UDSM soma hata kwenye Bio yake
 
Hapana Nikki Wa Pili ni Mwanafunzi wa PhD UDSM soma hata kwenye Bio yake

Simple, digrii yake ya kwanza ilikuwa ya fani gani na andiko lake la masters ameandika juu ya nini? Hiyo ndio Bio ya kisomi, hebu nisaidie kuniangalizia hayo na pia hiyo Phd yake anasomea katika kitivo kipi?
 
Simple, digrii yake ya kwanza ilikuwa ya fani gani na andiko lake la masters ameandika juu ya nini? Hiyo ndio Bio ya kisomi, hebu nisaidie kuniangalizia hayo na pia hiyo Phd yake anasomea katika kitivo kipi?
swahili hip hop artist/ PR at Weusi Company/ graduated mc..with M.A../PhD student at UDSM/ Winner of Tanzania kilimanjaro music award wapilinick@gmail.com
 
Niki wa pili hata digrii hana asomee wapi Phd? Yeye alikuwa akisoma pale UDSM UCC kwa Universoty of Dar es salaam Computing Centre kijikozi cha computer ndo akawa anasema anasoma UDSM! UDSM sio mchezo kaka, Phd yake ndio kabisaaaaaa
kwa uandishi ule hata dip sidhani kama anayo mkuu
 
Back
Top Bottom