Kikusya
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 266
- 365
Mimi sijui kwa nini ile reli yetu ya kaskazini ilikufa na tufanyeje ili hii iliyofufuliwa isife kamwe? Tumejifunza mengi sana kwa hayati John Magufuli, na Mungu amuweke mahala pema peponi. Mimi nahamini kila binadamu ataenda peponi na hilo ndiyo kusudio la Muumba wetu.
Je kuna nini cha kujifunza kuhusu reli hii? Wangekuwa wenzetu wa Ulaya hii reli kwa sasa ingekuwa ya umeme na usafiri wa uhakika. Tunakosea wapi? Ukiachia mbali shirika letu la ndege lililovyokuwa hoi na sasa linafufuka .
Tafadhari sana tena sana wengine tunajisikia uchungu sana kwa kuona vitu vingi vizuri vinavyoanzishwa na serikali kutotunzwa , kufilisika na vingine kufa kabisa.
JE SABABU NI ZIPI? NA TUFANYEJE KAMA WAPENDA MAENDELEO? KUMBUKA TANZANIA NI YETU NA LAZIMA TUIJENGE, TUIENDELEZE, TUILINDE NA TUIPENDE KWA MOYO WOTE.
Je, ni usimamizi mbovu wa utawala?
Je ni kutokuwa waaminifu kwa mali ya umma?
Je ni uzembe na wizi wa baadhi ya wafanyakazi? n.k
Je adhabu gani serikali itoe kwa wale wanaohusika na hujuma, wizi , hasara , uzembe, au kuendesha haya mashirika na taasisi bila kupata faida?
Kwa sababu bila kupata faida na mikakati mizuri ya kuona mbele, hivi vyote vitakufa tena, na tutaanza kufufua tena. Tutakuwa taifa la kufufua tu, hatujui kuendeleza na kufikia viwango vya juu.
Naomba kama wewe huna la kuchangia n i tufanye taifa liende mbele ni bora usome tu au ikibidi jifanye unajikuna na sisi tutakuelewa tu. Ahsante wandugu.
Je kuna nini cha kujifunza kuhusu reli hii? Wangekuwa wenzetu wa Ulaya hii reli kwa sasa ingekuwa ya umeme na usafiri wa uhakika. Tunakosea wapi? Ukiachia mbali shirika letu la ndege lililovyokuwa hoi na sasa linafufuka .
Tafadhari sana tena sana wengine tunajisikia uchungu sana kwa kuona vitu vingi vizuri vinavyoanzishwa na serikali kutotunzwa , kufilisika na vingine kufa kabisa.
JE SABABU NI ZIPI? NA TUFANYEJE KAMA WAPENDA MAENDELEO? KUMBUKA TANZANIA NI YETU NA LAZIMA TUIJENGE, TUIENDELEZE, TUILINDE NA TUIPENDE KWA MOYO WOTE.
Je, ni usimamizi mbovu wa utawala?
Je ni kutokuwa waaminifu kwa mali ya umma?
Je ni uzembe na wizi wa baadhi ya wafanyakazi? n.k
Je adhabu gani serikali itoe kwa wale wanaohusika na hujuma, wizi , hasara , uzembe, au kuendesha haya mashirika na taasisi bila kupata faida?
Kwa sababu bila kupata faida na mikakati mizuri ya kuona mbele, hivi vyote vitakufa tena, na tutaanza kufufua tena. Tutakuwa taifa la kufufua tu, hatujui kuendeleza na kufikia viwango vya juu.
Naomba kama wewe huna la kuchangia n i tufanye taifa liende mbele ni bora usome tu au ikibidi jifanye unajikuna na sisi tutakuelewa tu. Ahsante wandugu.