sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,021
- 5,253
Kwenye Forum Meeting inayojadili uwajibikaji kutoka ripoti ya CAG, JF imeulizwa na taasisi ya WAJIBU, kuwa Nini kifanyike kuhusu media na social medias kuhusu kuhabarisha umma juu ya uwajibikaji na kujitambua.
Msingi wa swali ni kwa kuwa uchambuzi wa ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuripotiwa na vyombo vya habari katika mfumo wa burudani au vichekesho, je kifanyike nini ili media zitoe taarifa katika namna ya kuwaeleza wananchi wajibu wao ama kuonesha uwajibikaji kwa viongozi. JF imewakilishwa na Bw. Francis Nyonzo.
Mzungumzaji mmoja wa MEDIA anasema kuwa Tanzania kuna wanahabari wengi au wote ni wanahabari lakini tuna waandishi wa habari wachache sana.
Wengi ni wanahabari wanaovizia matukio ili watrend lakini hakuna waandishi wa habari ambao wanafanya uandishi wa kina na consistency.
Mfano, mwanahabari anaripoti kuwa Hela zimepigwa lakini hajui chochote kuhusu bajeti ilivyoandaliwa kabla ya huo upigaji nk. Sasa hawa ni wanahabari na sio waandishi wa habari
Msingi wa swali ni kwa kuwa uchambuzi wa ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuripotiwa na vyombo vya habari katika mfumo wa burudani au vichekesho, je kifanyike nini ili media zitoe taarifa katika namna ya kuwaeleza wananchi wajibu wao ama kuonesha uwajibikaji kwa viongozi. JF imewakilishwa na Bw. Francis Nyonzo.
Mzungumzaji mmoja wa MEDIA anasema kuwa Tanzania kuna wanahabari wengi au wote ni wanahabari lakini tuna waandishi wa habari wachache sana.
Wengi ni wanahabari wanaovizia matukio ili watrend lakini hakuna waandishi wa habari ambao wanafanya uandishi wa kina na consistency.
Mfano, mwanahabari anaripoti kuwa Hela zimepigwa lakini hajui chochote kuhusu bajeti ilivyoandaliwa kabla ya huo upigaji nk. Sasa hawa ni wanahabari na sio waandishi wa habari